Home

HOME I

Friday, October 22, 2010

UNPLUG THE CHARGER..


 A few days ago , a person was recharging his mobile phone at home. 
Just at that time a call came in and he answered it with the charging Instrument still connected to the outlet.
.
After a few seconds electricity flowed into the cell phone unrestrained 
and the young man was thrown to the floor with a heavy thud.  As you can see ,
the phone actually exploded.
His parents rushed to the room only to find him unconscious , with a weak
heartbeat and burnt fingers. 
 
                      
He was rushed to the nearby hospital , but was pronounced dead on arrival.
Cell phones are a very useful modern invention.


However , we must be aware that it can also be an instrument of death.
Never use the cell phone while it is hooked to the electrical outlet!  

If you are charging the cell phone and a call comes in , unplug it from the charger and outlet.
FORWARD THIS TO THE PEOPLE THAT MATTER IN YOUR LIFE!!!! 
Whether or not they have a cell phone.  They can also inform others who do......

Surgical Services


Thursday, October 21, 2010

Meli ya Hospitali ya China yatia nanga Dar, kutoa matibabu bure

Meli ya Hospitali ya China ikiwa imetia nanga katika Bandari ya Dar es Salaam jana tayari kwa kutoa huduma ya matibabu kwa wagonjwa mbalimbali.
Mganga Mkuu wa Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ya Lugalo, Meja Jenerali Salim Salim, akionyeshwa machine ya upimaji magonjwa ya moyo iliyomo katika meli ya China, alipotembelea meli hiyo , katika Bandari ya Dar es Salaam. Kushoto ni Kamanda wa meli hiyo, Bao Yuping na kulia ni Balozi wa China hapa nchini Liu Xinsheng.
Sehemu ya wodi ya wagonjwa mahututi (ICU) ndani ya meli hiyo.
Mkuu wa Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Lugalo, Meja Jenerali Salim Salim, akipewa zawadi maalum na Kamanda wa Meli ya China, yenye vifaa na madaktari wa kutoa huduma za matibabu, Bao Yuping,
alipotembelea meli hiyo katika Bandari ya Dar es Salaam jana.
‘Makamanda wa kike’ wanaofanya kazi katika meli hiyo ambao pia ni madaktari wa magonjwa mbalimbali.

isha mashauzi atwangwa Talaka

Lile gogoro la staa wa miondoko ya mwambao anayetumika katika Kundi la Jahazi Modern Taarab, Aisha Ramadhan ‘Isha Mashauzi’ kupigana na mumewe, limefungua sura mpya baada ya mwanaume huyo, Jumanne Hassan ‘Tevez’ kumtwanga talaka mkewe huyo.

Talaka hiyo ilitolewa Oktoba 18, 2010 nyumbani kwa wanandoa hao, Tandale-Kwatumbo, Dar na kushuhudiwa na wanandugu kadhaa wa pande zote mbili akiwemo mama mzazi wa Isha.


Baada ya kuzinyaka taarifa hizo, Amani lilifika nyumbani kwao na kufanikiwa kumkuta Isha Mashauzi na mama yake mzazi, Rukia Juma wakiwa wamekaa nje kibarazani kwa kile kilichosemekana kwamba, walikuwa wakimsubiri Tevez.

Ilipotimu saa 7:00 mchana, Tevez alitia timu na kuwakuta wakimsubiri kwani ilidaiwa kuwa, baada ya ugomvi wao wiki moja nyuma, Isha hakuwahi kurudi nyumbani kwake.
Huku Amani likishuhudia, kitendo bila kuchelewa, Tevez alikabidhi talaka kwa mkewe Isha huku akimwamuru achukue kila kitu alichokiona ndani ya nyumba hiyo kwa vile kilikuwa ni haki yake, mama mzazi alikuwa akishuhudia kwa mshangao.
Nyota huyo wa Taarab alionekana kushtuka na kushindwa kuamini macho yake, palepale alimwaga chozi lenye ujazo wa kijiko cha chai na kuanza kufanya mpango wa kutafuta lori la kubebea mizigo yake.

Lori aina ya Canter lilifika na kuegesha kinyumenyume jirani na mlango mkubwa, Isha akisaidiwa na baadhi ya nduguze walianza kutoa vinavyowahusu na kuingiza kwenye gari hilo.

Hata hivyo, ili kumfanya akaanze maisha kwa urahisi kidogo, mwanaume huyo alimpa mtalaka wake huyo kiasi cha Dola za Kiamerika 100 (kama Shilingi 130,000 za Bongo) huku akitamka kuwa, Jumamosi au Jumapili ijayo amtafute ili ammalizie deni la mahari iliyobaki wakati wa mchakato wao wa kuoana.

Zoezi hilo lilipokamilika, Amani liliongea na Tevez kwa njia ya simu yake ya kiganjani lengo likiwa kupata uhakika wa kile kilichotokea ambapo alikuwa na haya ya kusema:

“Kusema ukweli ulichokiona au kuambiwa ni kweli, nimeshindwa kuishi na mke asiyejua kuheshimu ndoa yake. Kikubwa kilichoniuma, wakati alipolazwa hospitali kwa kile kipigo nilichompa, simu yake nilikuwa nayo mimi, nilikuta sms (ujumbe mfupi wa maandishi) nyingi za mapenzi.”
Tevez aliendelea kusema kuwa, meseji hizo zilikuwa zikienda kwa wanaume mbalimbali, nyingine alikuwa akiomba msaada wa kupangishiwa chumba, nyingine akiomba fedha.
Amani lilifanikiwa kuziweka kibindoni meseji hizo sanjari na namba za simu zilizotumiwa. Moja jina lake ‘liliseviwa’ Samir.

Meseji nyingine ilionekana kwenda kwenye namba ambayo Amani lilipoifuatilia liligundua mtumiwaji anaishi nchini Ugiriki. Huyu alikuwa akiombwa kiasi cha pesa ya Ulaya (Euro) 50 kwa minajili ya kulipia kodi ya chumba.
Meseji nyingine ilikwenda kwenye namba ambayo tunaisitiri, lakini kwenye simu iliseviwa kwa jina la Mkurugenzi, mawasiliano yao yalikuwa machafu kupita maelezo.




Katika habari hiyo, wawili hao walitwangana kiasi cha kuumizana na kupasuliana vioo vya magari yao, kisa kikiwa mke kuonesha dalili za kutokuwa mwaminifu katika ndoa.

‘Vita’ hiyo ilimfanya Isha kulazwa hospitali ambayo haikujulikana jina mara moja baada ya kuumia vibaya na hali yake kuwa mbaya.

Wednesday, October 13, 2010

Samuel Sitta anatisha

*Ahamishia Ofisi ya Spika wa Bunge Urambo Mashariki
*Thamani yake yamduwaza Kikwete, asema nchi itafilisika.

MBUNGE wa Urambo Mashariki, mkoani Tabora, Samuel Sitta, amedhihirisha kwamba yeye ni mtu wa viwango vya hali ya juu, baada ya kuomba Serikali imjengee Ofisi ya Jimbo, yenye hadhi sawa na Ofisi ya Spika iliyoko katika jengo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyoko Dodoma.

Ofisi hiyo, ambayo ilizinduliwa na Rais Jakaya Kikwete wiki iliyopita, inaelezwa kuigharimu Serikali zaidi ya Sh milioni 500, kama zitajumlishwa gharama za ujenzi pamoja na samani (furniture) zilizomo ndani ya ofisi hiyo, maalumu kwa ajili ya mbunge wa jimbo la Urambo Mashariki.

Haikuweza kufahamika ni kwanini Sitta, ambaye pia ni Spika wa Bunge linalomaliza muda wake, aliamua kujenga ofisi mpya wakati tayari anayo Ofisi ya Mbunge katika jengo la mkuu wa wilaya ya Urambo.

Rai limeelezwa kwamba kila mbunge, katika mwaka wa fedha wa 2009/2010, alitengewa  Sh milioni 65 kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya mbunge jimboni kwake, lakini mbunge wa Urambo Mashariki yeye aliamua ajenge ofisi yenye hadhi ya nafasi yake ya Uspika.

Habari zilizopatikana kutoka kwa baadhi ya watu walioshuhudia hafla ya uzinduzi wa ofisi hiyo uliofanywa na Rais Kikwete wiki iliyopita, zinasema hata Rais alishitushwa na hadhi ya ofisi hiyo, kiasi cha kujikuta akitamka kwamba ‘kama kila mbunge atataka ajengewe ofisi ya kiwango hiki, basi wabunge wataifilisi nchi hii.’

Jengo la ofisi hiyo ya jimbo, mbali na kuwa na ofisi ya mbunge, inayo pia ofisi ya msaidizi wa mbunge, katibu muhtasi, watumishi wengine wasaidizi (technical staff), chumba maalumu cha watu mashuhuri (vip lounge) na ukumbi wa mikutano unaoweza kuwakusanya watu 30 wakiwa wamekaa kwenye viti.

Rai limefanikiwa kupata baadhi ya nyaraka za mawasiliano baina ya Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Ramadhani Khijjah, zinazoelezea uhamishwaji wa fedha kutoka katika vifungu vya maendeleo (fungu 42) kwenda fungu Na 85 cha RAS Tabora ili zikafanye kazi ya ujenzi wa ofisi hiyo.

Kwa mujibu wa nyaraka hizo, Juni 11 mwaka jana, Dk Kashililah alimwandikia barua Khijjah, akijibu barua ya Katibu Mkuu huyo yenye kumb. Na. C/AB/422/01 ya Mei 13, 2009, ambayo ilielekeza kutenga fedha kwenye Fungu 42: Mfuko wa Bunge, kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa ofisi ya mbunge wa Urambo Mashariki.

Katika barua hiyo, Dk Kashililah anamuomba Katibu Mkuu Hazina, kuhamisha Sh milioni 200 kutoka Fungu 42 kwenda Fungu 85: Mkoa wa Tabora “kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa ofisi ya mbunge wa jimbo la Urambo Mashariki.”

Kwa mujibu wa barua hiyo, fedha hizo ziliombwa ‘kwa ajili ya kukamilisha ujenzi’ na si kuanza ujenzi, hali inayotafisiriwa na wachambuzi wa mambo ya ujenzi kwamba wakati kiasi hicho cha fedha kikiombwa, tayari mradi huo ulikwishatumia kiasi kingine zaidi ya hicho, kuanzia ujenzi wenyewe, usanifu na uchoraji wa ramani ya jengo.

Pamoja na barua hiyo, ipo barua nyingine ya Juni 4, mwaka huu, ambayo Katibu wa Bunge, Dk Kashililah alimwandikia Katibu Mkuu Hazina, akiomba kuhamishwa Sh milioni 72 kutoka katika fungu hilo la 42 kwenda fungu 85 kwa ajili pia ya ‘kukamilisha ujenzi wa ofisi ya mbunge wa Urambo Mashariki.

“Mradi huo (ofisi ya mbunge wa Urambo Mashariki) haukuweza kukamilika kutokana na upungufu wa fedha zilizopelekwa kupitia Fungu 85: RAS Tabora. Ili kuweza kukamilisha kazi hiyo, naomba kuhamisha kiasi cha Sh 72,000,000 kutoka Fungu 42: Mfuko wa Bunge kwenda Fungu 85: RAS Tabora. Fedha hizo (Sh milioni 72) zihamishwe kutoka vifungu vya maendeleo ambazo hazikuweza kutolewa kutokana na kuchelewa kutekelezwa kwa miradi iliyokusudiwa,” inasema sehemu ya barua hiyo ya Dk Kashililah.

Dk Kashililah amekiri kuwapo kwa mawasiliano hayo baina yake na Katibu Mkuu wa Hazina pamoja na uhamishaji wa fedha hizo kutoka Mfuko wa Maendeleo wa Bunge ili zikatumike kujenga ofisi hiyo, akisema mradi huo ni sehemu ya miradi ya maendeleo ya Bunge.

Juhudi za kumpata Katibu Mkuu Hazina jana hazikufanikiwa baada ya mtu mmoja katika ofisi yake, aliyejitambulisha kuwa Katibu Muhtasi wake, kuliambia Rai kwamba Katibu huyo, kwa wakati huo tuliopiga simu, alikuwa Ikulu.

Mbali na mamilioni hayo ya Shilingi yaliyotumika katika ujenzi wa ofisi ya mbunge huyo, samani za ofisi (furniture) zilizonunuliwa kwa ajili ya matumizi ya ofisi, zimeigharimu Serikali Sh 100,931,300.00.

Msambazaji wa samani hizo, ambaye alipatikana kwa utaratibu wa wazi kabisa wa zabuni ni M/S Mariedo Home Decor. Huyo naye anatiliwa shaka na baadhi ya wadadisi wa mambo, akidaiwa kuwa mshirika wa karibu wa mbunge wa Urambo Mashariki.

Shaka hiyo, inatokana na ukweli kwamba katika wazabuni wanne waliokuwa wameorodheshwa na Bodi ya Zabuni ya Bunge, M/S Meriedo ndiye aliyekuwa mtu ghali sana, pengine mara mbili ya wengine.

Kwa mujibu wa fomu ya ulinganisho wa bei za Wazabuni (Comparison of Technical Aspects Against Quoted Price), Wazabuni wanne waliokuwa wameteuliwa, bei zao zikiwa katika mabano, ni pamoja na M/S Living Room (Sh 64,769,960.00), M/S Quality Furniture and General Appliance (Sh 49,967,760.00), M/S Mariedo Home Décor (Sh 100,931,300.00 na M/S Alea Industries Ltd (80,462,624.00).

Miongoni mwa mahitaji muhimu katika ofisi ya mbunge huyo, ambayo yanalazimika kununuliwa na Serikali, ni pamoja na kompyuta ndogo (Laptop) ya inchi 17, mashine ya kudurufu karatasi (printer), Televisheni kubwa na ungo wake (Flat Screen TV with Dish), kioo kikubwa na vidude vya kutundikia koti ofisini (Coat hanger).

Aidha, kwenye korido ya kuingilia ofisini kwake, inahitajika seti moja ya viti vya bustanini, stuli 4 na meza ndogo ya bustanini, wakati ukumbi wa mikutano unahitaji kuwekewa meza ya mikutano na viti 24, huku vikihitajika pia viti vya dharura sita pamoja na dawati dogo moja.

Katika moja ya madokezo kati ya Mkurugenzi wa Utawala wa Wilaya ya Urambo (DAD) na wataalamu wake, katika kujadili aina ya samani na gharama zake zinazohitajika kununuliwa kwa ajili ya ofisi hiyo, imeandikwa:

“Baada ya kushirikiana na Msaidizi wa Spika, na kutokana na ‘taste’ ya Mh Spika, gharama ya ununuzi wa samani ni Sh 69,560,000.00 kutoka kwa M/S Mariedo Home Décor. Gharama hizi hazihusishi items zifuatazo: Air Condition, Laptop, kompyuta, photocopy mashine, Fax Machine, Printer na Generator ya 20kv.”

Ofisi hiyo ya mbunge wa Urambo Mashariki, ilizinduliwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete, siku chache baada ya kuhutubia Bunge na kuahirishwa, kabla ya kuvunjwa rasmi Agosti Mosi mwaka huu.

Watanzania walio wengi, walioshuhudia hafla ya ufunguzi huo kwa macho na au kupitia matangazo ya vituo vya televisheni nchini, walionyeshwa kushitushwa na ukubwa na ubora wa ofisi hiyo, kiasi cha baadhi ya watazamaji hao kupiga simu chumba cha habari cha gazeti hili, wakisema: “Kumbe Serikali hii ina fedha nyingi, haiwezekani ofisi ya mbunge ifanane na ukumbi wa Bunge Dodoma.”

Wengine walikwenda mbele zaidi na kuhoji: “Kwa nini mbunge, na hasa majimbo ya Urambo awe na ofisi ya gharama kubwa ya namna ile wakati wakazi wa Urambo ni masikini wa kutupwa ikilinganishwa na wilaya nyingine nchini?”

Friday, October 8, 2010

Jet's emergency landing after door lock fails- BRITISH AIRWAYS

SO LOW: Stricken jet and the door over London yesterday
SO LOW: Stricken jet and the door over London yesterday

THIS packed Heathrow jumbo jet was at the centre of a terrifying mid-air scare yesterday after a door failed to shut properly on take-off.

Passengers and cabin crew battled to hang on to the handle of the the rear door at 1,500 feet above London.
The pilot aborted the flight and swung the plane round for an emergency landing, flying low over hundreds of homes.
Fears of a full-scale disaster increased when flames were seen belching from the New York-bound aircraft's engines as it made its approach.
It had a full load of fuel on board - the pilot had no chance to jettison it over the sea for safety.
A source on board the low-flying aircraft - caught on camera above by a horrified eye-witness - said: "It was absolutely terrifying. The scene was like something out of a movie.

BACK FROM DANGER: The jumbo after landing at Heathrow yesterday
"The crew and some passengers leapt out of their seats to secure the door."
The drama began just a few minutes after take-off at 9.20am when flight BA117 bound for JFK with 296 passengers on board was at 1,500 feet above south west London.
A light in the cockpit suddenly alerted the pilot there was a problem with Door 5 at the rear left hand side of the plane. He warned cabin crew who discovered that the large handle that secures it was loose and moving around.
Alarmed passengers dashed to help the crew try to secure the door handle on to a latch.
Meanwhile the pilot made the decision to abandon the flight and head back as quicky as possible to Heathrow at low altitude because of the threat to cabin pressure caused by the unsealed door.
Passenger Hannah Evershed said: "I fly a lot for work and I knew we were flying too low. I was nervous. I was with my fiance and he saw smoke under the wing."

It must have been a terrifying ordeal for the passengers
On the ground below photographer Peter Luckhurst spotted the jumbo in distress as he watched his son play football near Surbiton, Surrey. "I thought it was way too low," he said. "It was no more than 800 feet and at times it could have been as low as 500. I could tell it was in trouble."
The plane was only airborne for 11 minutes so the pilot had no time to unload his fuel tank before landing. Emergency services scrambled to the runway as the jet touched down with flames shooting out of two of the engines.
But they extinguished themselves as it slowed down. Last night an investigation was launched into why the door handle was loose.
A source said: "Somebody is going to be in big trouble for this. But the pilot did an excellent job safely landing the plane with a full load.
"It must have been a terrifying ordeal for the passengers. They weren't to know the door wouldn't fly open during the flight."
A BA spokeswoman said last night the could not have opened because of the air pressure.
She said: "The handle on the door was not secured on the latch and it was reported moving. Some passengers did help members of the cabin crew to help secure the handle. At no stage was the door open.
"The pilot made the decision to fly back to Heathrow as a precaution. We have arranged for replacement flights for passengers to take them to their destination.
"The flames that were seen were caused by a combination of the heavy landing load and the maximum reverse thrust. An investigation has been launched and the plane will undergo a full assessment."
A spokesman for Heathrow said: "The emergency services attended the scene and were stood down once the passengers were in the terminal."

Risk of being sucked from jet

AN aviation expert last night warned that passengers could have been "sucked out" if the door had flown open at cruising height.
But Julian Bray added: "The pilot did the right thing in following safety procedure. The worst case scenario is a depressurisation and the door opening up. This is rare but it can happen and the pilot can not take any chances.
"But landing a plane with a full fuel load always carries the risk of fire, that is why pilots often offload fuel over the sea."

Monday, October 4, 2010

MSAADA


habari za kazi na maisha. Kwanza nakupa hongera kwa kazi nzuri unayoifanya katika kuendeleza blog yako. Pili nakushukuru kwa kupata muda wa kuisoma mail yangu hii, naamini uko busy sana na unapata email nyingi kila siku, kwa hivyo sitochukuwa muda mrefu kueleza malengo ya email hii.

Kwa jina naitwa Ahmed Salem, kwa muda huu ninaishi na kufanya kazi hapa uk. Nilikuja kipindi na kujitahidi kujisomesha wakati huo huo nikipiga boksi. Nimefanikiwa kumaliza masomo yangu na nimekuwa nikifanya kazi katika kampuni moja ya IT hapa london kama Technical Support Field Engineer.

Kwa muda mrefu lengo langu ni kurudi nyumbani na kusaidia wanyonge wenzangu kielimu. Nahisi muda umefika wa mimi kurudi nyumbani na kutimiza lengo langu. Nakusudia kurudi nyumbani mwanzoni mwa mwezi wa januari na nataka kufanya kazi ya kusomesha vijana kwenye charity organisation.

Ninachotaka kuomba kwako na wasomaji wako walio tanzania ni msaada na muongozo wa kuweza kuwasiliana na charity organization zilizopo tanzania ambazo zinawasaidia watoto na vijana kielimu. Ningelipenda zaidi kujua organisation zilizo na base sehemu kama arusha, tanga na visiwani zanzibar.

Nakaribisha, ushauri na mawazo kutoka kwa wote.Pia napokea maoni na ushauri kupitia email hii

ahmedyoungafrican@gmail.com

ahsante sana

 

NYUMBA INAUZWA KUNDUCHI BLOCK F

TANGAZO:NYUMBA INAUZWA KUNDUCHI BLOCK F
SEHEMU YA MBELE KUSHOTO.

NYUMBA INAUZWA KUNDUCHI BLOCK F.INA HATI HALALI ILIYOSAJILIWA NA WIZARA YA ARDHI.INA VYUMBA VITATU VYA KULALA NA KIMOJA CHA MASTER.INA UMEME WA TANESCO,INA MAJI YA DAWASCO,INA KISIMA CHA AKIBA CHENYE UWEZO WA KUHIFADHI MAJI LITA 40 ELFU NA MATENKI YA AKIBA 2 YA JUMLA YA LITA 6000.

TILES ZIMEWEKWA NYUMBA YOTE,MAKABATI KATIKA VYUMBA VYA KULALA,MAKABATI YA JIKONI,INA STOO 2 NA VYOO VYA JUMUIA 2.MBELE INA GARDEN YA MAUA,NYUMA INA GARDEN YA MATUNDA.IMEZUNGUSHIWA FENSI YENYE MIKUKI KWA AJILI YA ULINZI.IMEWEKWA PEVIN BLOCK NYUMBA NZIMA.INA AC SEBULENI NA MASTER BEDROOM,INA HEATER KUCHEMSHA MAJI KATIKA BAFU ZOTE.

MAWASILIANO PIGA NAMBA 0655303997 KWA WANUNUZI
 
SEHEMU YA MBELE KULIA
SEHEMU YA GARDEN YA MBELE
SEHEMU YA CHUMBA CHA KULALA
KITCHEN
SEHEMU YA CHOONI
SEHEMU YA SEBULE
VARANDA YA NYUMA
SEHEMU YA UBAVUNI

 

Commonwealth Games 2010: India opens doors to the world at opening ceremony

 No collapsing scenery or malfunctioning sound system. No fluffed lines, botched choreography or missed cues and not a single stray dog in sight. The preparations for the XIXth Commonwealth Games may have been an unmitigated disaster but India certainly knows how to put on a show

Commonwealth Games 2010: India opens doors to the world at opening ceremony
Lighting up the sky: despite a chaotic lead up to the Commonwealth Games, Delhi put on a spectacular opening ceremony on Sunday 
A dazzling, colourful, high-octane opening ceremony that was part Bollywood, part cultural extravaganza, did much to dispel the nightmares of the past fortnight, thrilling a sell-out crowd in the Jawaharlal Nehru Stadium as well as the athletes and officials from 71 Commonwealth nations.
It even managed to start on time, to the very second, proving there are some deadlines that Games organisers are capable of meeting.

Sunday, October 3, 2010

Premier League table

Sunday, 3 October 2010 :

Position Team P GD PTS

1 Chelsea 7        21 18
2 Man City 7          6 14
3 Man Utd 7         7 13
4 Arsenal 7         7 11
5 Tottenham 7         2 11
6 West Brom 7       -3 11
7 Stoke 7       -1 10
8 Aston Villa 7       -3 10
9 Blackpool 7       -4 10
10 Fulham 7         1 9
11 Sunderland 7         0 8
12 Bolton 7       -1 8
13 Blackburn 7       -1 8
14 Wigan 7       -9 8
15 Newcastle 7         0 7
16 Birmingham 7        -3 7
17 Everton 7        -1 6
18 Liverpool 7        -4 6
19 Wolves 7        -9          5

Drogba was Arsenal's tormentor again as Chelsea tightened their grip at the top of the Premier League.

Chelsea   2 - 0   Arsenal

Didier Drogba
Drogba has now scored 13 goals in 13 matches against Arsenal

Arsenal paid the price for their failure to take the chances they created in periods of domination at Stamford Bridge - and for their continuing inability to contain Drogba as Carlo Ancelotti's champions stretched out a four-point lead over their title rivals.
Arsene Wenger's side came close through Marouane Chamakh and Laurent Koscielny, while Andrey Arshavin brought a superb save from Petr Cech before Drogba struck his 13th goal against The Gunners in as many games as the interval approach.