Home

HOME I

Saturday, March 19, 2011

Prayer from Abhishek to Japaness

abhishek
 Abhishek
 
I BROKEDOWN WHEN I HAVE HEARD ABOUT THE TRAGIC INCIDENCE HAPPENED IN JAPAN.WHOLE WORLD SHOULD LEARN ABOUT THE TRAGIC INCIDENT HAPPENED IN JAPAN.
NATURE IS THE BIGGEST ASSET IN WHOLE WORLD WE SHOULD RESPECT THE ALMIGHTY WHO CREATE US & THE WORLD.NUCLEAR WEAPON ARE THE DESTROYER OF OUR EARTH LET'S WHOLE WORLD STAND BEHIND EACH OTHER & RESPECT EACH OTHER.DONT CREATE A NEW WORLD WHERE DEAD PEOPLE WILL LIVE.
JAPAN THE WHOLE WORLD IS BEHIND YOU & RESPECT YOU.NOBODY CAN CHANGE THE DESTINY SO TRY TO FACE THE REALITY & PRAY FOR THE PEOPLE WHO DIED OF THIS KIND OF TRAGIC NATURES' FURY & LIGHT A CANDLE TO MOURN FOR THE SACRED HEART.LORD JAGANNATH BLESS THE WORLD".
STOP NUCLEAR PROLIFICATION FOR THE SAKE OF GOD & SPREAD BROTHERHOODNESS IN WHOLE WORLD.AMEN....................
Reply

TIDO MHANDO ATEMWA TBC.............................


BAADA ya kufanya kazi nzuri ya kuboresha matangazo na uendeshaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), serikali imeamua kuachana na mkurugenzi wa chombo hicho, Tido Mhando baada ya mkataba wake kuisha, lakini mtangazaji huyo maarufu ameielezea uamuzi huo kuwa kuwa ni wa utata.
Kuenguliwa kwake kumefanyika takriban miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu ambao TBC iliripoti kwa kina na bila kupendelea chama chochote na hivyo kujivunia sifa kemkem kutoka kwa watazamaji wa TBC1 na wasikilizaji wa redio hiyo ya umma.
“Hatua hii imenishtua kidogo na hata hivi ninapoongea na wewe wafanyakazi wengi wamepata mshtuko na wengine wanalia," alisema Tido alipoongea na Mwananchi jana. "Ni juzi (Jumatatu) ndio niliandikiwa barua na serikali ya kutakiwa kuondoka.... ilikuwa kinyume kabisa na uratatibu wa serikali.
“Barua ya kutakiwa kuondoka niliipata mara baada ya kukutana na kuzungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Michezo, Utamaduni na Vijana , Seti Kamwanda.’’
Tido, ambaye kabla ya kujiunga na TBC alikuwa mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Shirika la Habari la Uingereza (BBC), alisema kwa mujibu wa taratibu mfanyakazi anayemaliza mkataba wake anatakiwa kujulishwa suala hilo miezi sita kabla.
"Kimsingi (barua) hukumbusha kwamba mkataba unamalizika na kama serikali inakusudia kuuendeleza au la. Sasa hilo halikufanyika kwangu," alisema.
Kwa mujibu wa Tido, hatua hiyo inaweza kutafsiriwa tofauti na wananchi hasa ikizingatiwa kwamba imefikiwa miezi miwili tu tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu.
Wafanyakazi walipata taarifa ya kuondolewa kwa Mhando jana baada ya mkurugenzi huyo kubandika tangazo la kuwataarifu kuwa anaondoka na kwamba ametakiwa akabidhi ofisi kwa Joe Rugabaramu.
"Tangazo linasema kuwa amefanya kazi na sisi kwa miaka minne na sasa mktaba wake umeisha na kwamba ametakiwa akabidhi ofisi kwa Rugarabamu," alisema mmoja wa wafanyakazi wa TBC.
"Baadaye alitushukuru kwa ushirikiano wetu kazini na akatuambia tusubiri hadi hapo mkurugenzi mpya atakapotangazwa."
Mfanyakazi mwingine alisema kuwa walitarajia kuwa Mhando angetimuliwa mapema kabla ya uchaguzi kwa kuwa wanadai kuja kwake nchini kulitokana na uhusiano wake na kigogo mmoja wa CCM ambaye kwa sasa hayuko madarakani.
"Angetimuliwa hata kabla ya Desemba 15, lakini ikaonekana kuwa isingekuwa sahihi," alisema mfanyakazi huyo ambaye alieleza kuwa Mhando aliwasiliana pia kwa simu na mfanyakazi mmoja mmoja kumuelezea uamuzi huo wa serikali.
Habari za Tido kuondoka TBC zilianza kuvuma wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wakati iliposemekana kuwa alikuwa akipigana vijembe vya chinichini na vigogo wa CCM kutokana na vyombo hivyo vya umma kutangaza habari bila ya upendeleo.
Baadhi ya mambo yaliyoibua hisia kuwa mtendaji huyo wa shirika la umma angeondolewa ni msimamo wake wa kuendelea kurusha hewani kipindi cha "Jimbo kwa Jimbo" ambacho kilikutanisha wagombea ubunge wa vyama mbalimbali vya siasa kwenye mdahalo kuhusu maendeleo ya eneo lao.
Kipindi hicho kilichorushwa kwa wakati mmoja na vituo vya televisheni na redio kilianza kwa kushirikisha wagombea wote wa ubunge kwenye jimbo, lakini katibu mkuu wa CCM, Yusuf Makamba akaandika waraka wa kuzuia wagombea wa CCM kushiriki kwenye mdahalo huo akidai kuwa chama hicho tawala kina njia zake za kufanya kampeni.
Pamoja na CCM kujitoa, TBC iliendelea kurusha vipindi hivyo hadi kumalizika kwa uchaguzi ambao uliisha kwa CCM kupoteza viti vingi Tanzania Bara, ikiwa ni mara ya kwanza tangu serikali iruhusu mfumo wa vyama vingi.
"Ilikuwa aondoke kabla kampeni hazijaanza ingawa mkataba wake ulikuwa umalizike Desemba 15. Lakini serikali ilikuwa inarekebisha mambo yake na kumtafuta mtu anayeweza kurithi nafasi yake," chanzo cha habari cha ndani serikalini kilidokeza.
Chanzo kingine alisema: "Kuna watu wanaajiriwa pale TBC ambao malipo yao yanayotokana na Saccos ya shirika hilo, kitu ambacho ni kinyume na taratibu za serikali zinazotaka mwajiriwa alipwe na Hazina."
Jitihada za gazeti hili kumpata katibu mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo, Seti Kamhanda hazikuzaa matunda.
Alipoulizwa endapo atakubali kurejee kwenye wadhifa huo ikitokea serikali ikamwita tena, Mhando alijibu: "Nitalazimika kuchukua muda zaidi kutafakari hilo kwa kina.
“Nitafanya maamuzi ya kazi ya kufanya kulingana na wakati utakavyokuwa, lakini itanichukua muda kidogo kutafakari hilo kwa kuwa nimefanya kazi mfululizo.’
Kuhusu utendaji wa shirika hilo, Tido alisema amefarijika kwa kiasi kikubwa na mafanikio ya kiutendaji yaliyofikiwa.
“Nilikuwa na mipango mikakati mingi ya kuendeleza shirika hili hususani kulifanya lijiendeshe kwa kujitegemea bila ya kuhitaji ruzuku serikalini," alisema na kuendelea:
“Lakini nimefarijika vya kutosha na utendaji wangu na mafanikio yaliyofikiwa na TBC hadi wananchi kukiamini chombo hiki na ‘reaction’ imekuwa nzuri kutoka kwao na kwa vyama vya siasa.’’
Mbali na kurusha taarifa za kampeni katika njia iliyoonekana kuwa si ya upendeleo hata kwa chama tawala, TBC ilifanikiwa sana katika urushaji wa moja kwa moja wa matangazo ya mechi za mpira wa miguu na matukio makubwa ya kisiasa na kijamii.
Mechi za michuano mbalimbali ya kimataifa na ya ndani, urushaji wa matangazo ya moja kwa moja ya vikao vya Bunge, urushaji wa moja kwa moja wa matukio makubwa na staili ya utangazaji ulilifanya shirika hilo kuwa na mvuto mpya na hivyo kuweza kupambana na vituo vingine vya redio na televisheni vya kampuni binafsi.
                                Source:
http://www.mwananchi.co.tz/news/4-habari-za-kitaifa/7490-tido-mhando-atemwa-tbc.html

Facebook has nothin good than cryin to married couples..............

If you’re single, Facebook and other social networking sites can help you meet that special someone. However, for those in even the healthiest of marriages, improper use can quickly devolve into a marital disaster.

A recent survey by the American Academy of Matrimonial Lawyers found that Facebook is cited in one in five divorces in the United States. Also, more than 80 percent of divorce lawyers reported a rising number of people are using social media to engage in extramarital affairs.

“We’re coming across it more and more,” said licensed clinical psychologist Steven Kimmons, Ph.D., of Loyola University Medical Center in Maywood, Ill. “One spouse connects online with someone they knew from high school. The person is emotionally available and they start communicating through Facebook. Within a short amount of time, the sharing of personal stories can lead to a deepened sense of intimacy, which in turn can point the couple in the direction of physical contact.”

Though already-strained marriages are most vulnerable, a couple doesn’t have to be experiencing marital difficulties in order for an online relationship to blossom from mere talk into a full-fledged affair, Kimmons said. In most instances, people enter into online relationships with the most innocent of intentions.

“I don’t think these people typically set out to have affairs,” said Kimmons, whose practice includes couples therapy and marriage counseling. “A lot of it is curiosity. They see an old friend or someone they dated and decide to say ‘hello’ and catch up on where that person is and how they’re doing.”

It all boils down to the amount of contact two people in any type of relationships –
including online – have with each other, Kimmons said. The more contact they have, the more likely they are to begin developing feelings for each other.

“If I’m talking to one person five times a week versus another person one time a week, you don’t need a fancy psychological study to conclude that I’m more likely to fall in love with the person I talk to five times a week because I have more contact with that person,” Kimmons said.

Stories of people whose marriages were destroyed by affairs that began on social networking sites abound on the Internet. It’s enough to make some people swear off online technology for life. Though there are no hard-and-fast rules to follow, there are some safeguards couples can apply to decrease the chance of online relationships getting out of control. For starters, do a self-assessment of why you’re using online sites.

“Look at the population of the people who are your online friends,” Kimmons said. “Is it a good mixture of men and women? Do you spend more time talking to females versus males or do you favor a certain type of friend over another? That can tell you something about how you’re using social networks. You may not even be aware that you’re heading down a road that can get quickly get pretty dangerous, pretty fast to your marriage.”

Another safeguard is to spell out from the beginning with your online contacts what your expectations are of social networking relationships. Also, it’s a good idea to not engage in intimate conversation with someone who is not your spouse.

“From the start tell your online friend that you’re not looking for anything more than establishing old contacts with people to find out how they’re doing,” Kimmons said.
In some instances, couples could share passwords with each other and place the computer in a common area in the house or apartment.

“It’s not that people are going to read what you’re writing but they’ll see what you’re doing,” he said. “Then it’s not a secret.”
Couples can also set parameters around how much time and when they are online each day.
“If you’re doing this at 2 o’clock in the morning with no one watching because you don’t want anyone else to know about it, that should be a signal to you that this is something approaching a boundary line or you’re at least moving in that direction,” Kimmons said.

Supermoon on March 19th 'may cause natural disasters'

On March 19th 2011, the moon will make its closest approach to Earth in almost 20 years, possibly triggering earthquakes, volcanic eruptions and other disasters, claims astrologer Richard Nolle.
The phenomenon, called lunar perigee or Supermoon, happens when the moon reaches its absolute closest point to Earth. On March 19, the natural satellite will be only 221,567 miles away from our planet.
There were Supermoons in 1955, 1974, 1992 and 2005, and these years had their share of extreme weather conditions, too. Although there are scientific laws that say the moon affects the Earth, it's still ambiguous whether the lunar perigee and natural disasters is coincidence or not.
Two days after online warnings that the Supermoon might trigger disasters, the devastating Japanese tsunami forced everyone to think - could the movement of the moon cause natural calamities?
"Supermoons have a historical association with strong storms, very high tides, extreme tides and also earthquakes," the Daily Mail quoted astrologer Richard Nolle, who first coined the term in 1979, as saying in an interview with ABC radio.
However, scientists dismiss this as utter nonsense.
Dr David Harland, space historian and author, said, "It's possible that the moon may be a kilometre or two closer to Earth than normal at a perigee, but it's an utterly insignificant event."
Professor George Helffrich, a seismologist at the University of Bristol was equally dismissive.
"Complete nonsense. The moon has no significant effect on earthquake triggering. If the moon triggers "big" earthquakes, it would trigger the many of millions of times more "small" earthquakes that happen daily. There is no time dependence of those; hence no moon effect," he said.
According to Dr Roger Musson, of the British Geological Survey (BGS), the devastating earthquake occurred because the Pacific Plate is plunging underneath Japan.
However, while hoping for a non-disastrous ‘moon giant’, point your eyes and camera lenses toward the night sky on 19th. If the sky is clear, you’re gonna get an exceptional celestial treat.