Home

HOME I

Tuesday, November 9, 2010

Relief From Headache In Natural Ways

                                                         
Headache is a common problem, specially among the working crowd. Headache is caused due to several factors, but we can put it under three broad categories -

1.Tension – This is the most common cause of headache. Tension creates a spasm of the muscles at the back of the neck. The muscle spasm gets the tissues over the surface of the cranium and thus, the pain is felt not only on in the neck but also on the forehead.

2.Migraine – Migraine is the abnormality of the nervous system. This strain on the nervous system is caused due to eye strain, shock, stomach disorders etc. Migraine is a chronic disease which needs medical attention.

3.Cluster Headache – Cluster headaches are repetitive and gets back several times in a month. These are generally caused due to constant pressure on the nerves like alcohol consumption, chain smoking etc.

Headaches are very disturbing and restricts your attention to the pain alone. At this moment pain killer seems to be the only solution to get relief form headache. Pain killers, however, have side effects. Here are few home remedies to get relief from headache -

1.For chronic headache, eat sliced apple with salt everyday in the morning for a week.

2.Crush lemon crust into a fine powder and make it into a paste with the use of water. Apply this on the forehead. This is quick relief form headache caused due to tension.

3.Apply a small amount of Eucalyptus oil on the center of the head and cover it with a towel dipped in warm water. This is one of the most effective ways of curing pain.

4.Put 3 drops of ghee in your nostrils for a week to get rid of headache from cold.

5.Drink a glass of water with a teaspoon of honey every morning to treat chronic headache.

6.Grind watermelon seeds with poppy seeds and consume three grams of it everyday if you are suffering constant pain.

7.Application of sandalwood paste on the forehead is one of the tradition ways of curing headache.

These seven tips will surely give you quick relief from headache and does not have any side effects. They not only get you relief from headache but also treats it, so that you don't suffer the symptoms again.

Sunday, November 7, 2010

mnara wa kuongozea meli feri waleta taswira nzuri

Mashoga Ruksa kuwa Wanajeshi Marekani

JESHI la Marekani limekubali kuanza kutoa mafunzo ya kijeshi kwa mashoga baada ya wiki iliyopita Jaji wa Jimbo la California kutengua sera ya 'usiulize, usimwambie'. Sera hiyo ilikuwa ikipinga wazi mashoga kutumikia jeshi ingawa Wizara ya Ulinzi imewaonya wanajeshi mashoga ikisema kuwa huenda sheria hiyo ikatenguliwa.

Habari kutoka mjini Washington DC zimeeleza kuwa, pamoja na sera hiyo ya kupinga mashoga kutumikia jeshi kutenguliwa, Pentagon imekata rufaa kuhusu uamuzi huo na kumtaka Jaji kurejesha kwa muda sera hiyo lakini Jaji Virginia Phillips jana alikataa ombi hilo.

Imeelezwa kuwa baada ya kuondolewa sera hiyo, makundi ya wanaharakati wa kutetea haki za mashoga wamepanga kupeleka watu wa jamii hiyo kwenye vituo vya mafunzo ya kijeshi ili kujaribu tamko hilo la Pentagon.

"Endapo wenyewe binafsi watakubali wazi kuwa ni mashoga na wanataka kujifunza jeshi, tutawafanyia utaratibu lakini tutawaeleza kuwa hali hiyo kisheria inaweza kubadilika," amesema msemaji wa Idara ya Mafunzo ya Kijeshi katika kituo cha Fort Knox, Kentucky, Douglas Smith.

Mwezi Septemba mwaka huu, Chama cha Democrats kilijaribu kuitengua sera hiyo ya kuzuia mashoga kutumikia jesheni kupitia Baraza la Seneti lakini kikashindwa baada ya kushindwa kupata kura za kutosha.

Naye Rais Barack Obama, alishatangaza kuiondoa sera hiyo lakini wengi wa washauri wake wanakubali kuwa Rais huyo hawezi kuondoa sera hiyo ya kuwapiga marufuku mashoga kutumikia wazi jeshini bila kupitishwa na Baraza la Congress ama hatua za kisheria.

Katika hatua nyingine, Pentagon imesema kuwa Desemba mosi mwaka huu, inatarajia kutoa taarifa kuhusu uwezekano wa kuwepo madhara watakapowaruhusu wazi mashoga kutumikia jeshini.

Baadhi ya maofisa wa Pentagon wanasema kuwa kuwaruhusu mashoga kutaleta mabadiliko ya kila kitu jeshini kuanzia nyumba, bima na itifaki katika shughuli za kijamii.

Mjini California, Jaji Phillips anadai kuwa sera hizo zinavuruga haki za wanajeshi mashoga kuwa huru kuzungumza na kupata ulinzi sawa chini ya sheria.

Kesi ya kupinga kuzuiwa mashoga jeshini ilifunguliwa na kundi kutoka chama cha Republicans kinachounga mkono mashoga kwa niaba ya wanajeshi mashoga ambao walitimuliwa.


                                            Source: DarLeo

Ni kichuma kidogo Lakini chatingishwa watu duniani

Muslims dismissive of Obama's visit in India

                                                                        
Muslims from across India have downplayed the hype surrounding US President Barack Obama's visit this week, saying they did not expect him to do anything to improve the condition of Muslims in India or abroad. Members of the minority community in India that constitute roughly 12 percent of its 1.2 billion people, said Obama had said and promised much, but delivered little, during his two years in office.

                        

KIKWETE AAPISHWA KUWA RAISI

                   Raisi mteule Jakaya Mrisho Kikwete akiapa kwa kushika kitabu kitakatifu (TheHolly Qur'an ) mbele ya Jaji mkuu wa Tanzania Jaji  Agustino Ramadhani.


Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameapishwa baada ya kushinda matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 31, 2010.

Rais ameapa mbele ya jopo la viongozi wa serikali wakiwemo Jaji Mkuu, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Katibu Mkuu Kiongozi, Jopo  la Majaji, Wakuu wa Vyombo vya ulinzi, Viongozi Watatu wa Madhehebu ya Dini, Wazee Wawili kutoka Tanzania Bara na Tanzania Visiwani  na Karani wa Baraza la Mawaziri.


Jakaya Kikwet, akiwasili uwanjani katika gari la wazi akiwasili kwa ajili ya kuapishwa

                                         















KIKWETE ASHINDA URAISI KWA 61.7%



                                                                      
                                   
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)  ilimtangaza Kikwete aliyekuwa akigombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM, kuwa mshindi baada ya kupata kura 5,276,827 (sawa na  61.17%) ya kura zote halali zilizopigwa 8,626,283.

Akitangaza matokeo hayo Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Lewis Makame, alisema Kikwete alipata ushindi huo, miongoni mwa wagombea wa vyama saba vya siasa waliowania.

Aliyekuwa mgombea wa Chadema, Dk Willibrod Slaa hakuhudhuria hafla hiyo kutokana na kile alichodai juzi kuwa hakubaliani na matokeo.

Kwa mujibu wa matokeo hayo, nafasi ya pili katika kinyang’anyiro hicho ilichukuliwa na Willibrod Slaa wa Chadema ambaye alipata kura 2,271,941 (sawa na 26.34%) ya kura zote halali.

Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF, alishika nafasi ya tatu kwa kupata kura 695,667 (sawa na  8.06% ) ya kura zote halali.

Baada ya kutangaza matokeo hayo, Rais Kikwete aliwashukuru wapiga kura, NEC na vyombo vya habari kwa kuwezesha uchaguzi huo kufanyika kwa utulivu na amani.

Alisema, “ushindi niliopata unaonesha imani ya wapiga kura kwangu na ninaahidi nitawatumikia kwa ari mpya zaidi, nguvu mpya zaidi na kasi mpya zaidi.” .