Home

HOME I

Saturday, December 25, 2010

mtoto wa mkulima akiwa shambani kwake

Image 

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akivaa mabuti kujiandaa kuingia shambani kupanda mahindi huku mjukuu wake, Ivan Wimbo (kushoto) akimuangalia. Waziri Mkuu yupo kijijini kwao Kibaoni mkoani Rukwa kwa mapumziko ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya.


Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwa shambani kwake Kibaoni kwa maandalizi ya kupanda mahindi mh yupo nyumbani kwao kwa mapumziko ya Krismasi na Mwaka Mpya.
 

 

Hii n Salam Jamani..... au Heshima...?

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijvSdxGYAPRkLBwffxsF9KK-bz4MnMqbvJhXMaa1-kewTM5cATp5ytfPtZaNFNkPOD21RSvyMoSoSh5OgTuqyrqvMSaVUgdRhE1yqHS6JA5PmKC3Z6KjnQ9PxP1E3vlJozoXUo12WV8GA/s1600/8E9U4907.JPG

Friday, December 24, 2010

Obama asaini sheria ya mashoga jeshini

Rais Barack Obama ametia saini sheria ambayo kwa mara ya kwanza itaruhusu mashoga jeshini kuwa wazi na hali zao za kijinsia bila ya kuwa na wasiwasi wa kufukuzwa kazi.


Rais Barack Obama
                                                               Rais Barack Obama

Rais Obama amesema mabadiliko hayo yataimarisha jeshi na kwamba ilikuwa ni hatua sahihi ya kuchukua.
Katika sera ya zamani, iliyojulikana kama "Usiulize, Usiseme" iliruhusu mashoga kufanya kazi jeshini, lakini kwa kuweka hali ya jinsia zao siri.
Sera hiyo ilianzishwa miaka kumi na saba iliyopita wakati wa utawala wa rais Bill Clinton, ikichukua nafasi ya kupiga marufuku mashoga jeshini.

           Source: BBC

Wednesday, December 22, 2010

Fedha za kashifa ya rada kurejeshwa Tanzania


 KAMPUNI kubwa ya ulinzi ya Ulaya, BAE Systems, imekubali kuilipa Serikali ya Tanzania fidia ya Sh bilioni 67.29 (pauni milioni 30) kama walivyokubaliana na Taasisi ya Kuchunguza Makosa makubwa ya jinai ya Uingereza, SFO, ikiwa ni sehemu ya kumaliza shauri lililokuwa linawakabili mahakamani.

Kauli hiyo imetolewa baada ya kampuni hiyo kuhukumiwa kulipa faini ya pauni 500,000 au dola za Marekani 775,000, sawa na Sh bilioni 1.12 baada ya kukiri kosa la ‘kushindwa kuweka kwa usahihi kumbukumbu za manunuzi.’

Viwango vya ubadilishaji kwa siku ya jana kwa mujibu wa Benki Kuu ni pauni moja sawa na Sh 2,243 wakati dola moja ni Sh 1,442.

Kampuni hiyo imesema kwamba kwa sasa inaangalia utaratibu wa malipo hayo ikiwa ni sehemu ya fedha zilizolipwa na Serikali ya Tanzania kununua rada hiyo ya kisasa.

Mpango huo ulikuwa na thamani ya dola milioni 40 sawa na pauni milioni 28. Mahakama ilitoa hukumu hiyo kwa kuzingatia shauri la kutoweka taarifa vyema.

Suala la kutoa mlungula ambalo awali lilitawala uchunguzi wa SFO halikufikishwa mahakamani.

Jaji David Bean alisema itakuwa ni kuukataa ukweli kufikiri kuwa wakala wa BAE nchini Tanzania, Shailesh Vithlani, alilipwa mamilioni ya dola eti kwa sababu tu anajua kuunganisha vyema masuala ya biashara.

BAE ilikubali kwamba inawezekana kwamba sehemu ya dola milioni 12.4 (waliyomlipa Vithlani) ilitumika kwa ajili kuisaidia kupata zabuni hiyo.

Hata hivyo waendesha mashtaka wamesema kwamba ni vigumu sana kuweza kujua Vithlani alifanya nini na fedha hizo na wala kuthibitisha kwamba sehemu ya fedha hizo zilitumika vibaya.

Kwa mujibu wa maelezo fedha hizo zililipwa kwa kampuni za Vithlani za British Virgin Islands na Kampuni ya Merlin iliyosajiliwa Tanzania.

Kampuni ya BAE imesema kwamba imefurahishwa na shauri hilo kumalizwa na kwamba inaandaa utaratibu wa kuilipa Tanzania fedha zake.

Hukumu hiyo iliyotolewa jana na Jaji David Bean mjini London inahitimisha miezi sita ya uchunguzi wa kina wa shauri hilo.

BAE ilikiri kosa hilo la kushindwa kutunza vyema kumbukumbu za manunuzi mwezi uliopita katika mpango wake na Taasisi ya Kuchunguza Makosa makubwa ya jinai ya Uingereza, SFO.

Kampuni hiyo iliridhia Februari kulipa pauni milioni 30 kama sehemu ya fidia na waendesha mashitaka walisema wangekubaliana na BAE ikiwa wangelipa faini hiyo na kutuma ‘chenji’ kwa Serikali ya Tanzania.

Kampuni hiyo ilikuwa katika uchunguzi nchini Uingereza kuanzia Novemba, 2004 kwa tuhuma za kutoa rushwa ili kushinda zabuni za manunuzi katika nchi sita ikiwamo Tanzania na Jamhuri ya Czech.

Februari mwaka huu BAE ilikubali kulipa karibu dola za Marekani milioni 450 kama fidia ili kumaliza shauri hilo baina yake na SFO na waendesha mashitaka wa Marekani.

Hata hivyo, BAE ililipa dola za Marekani milioni 400 kwa Marekani na kukiri kosa la kutoweka taarifa sahihi ya manunuzi hayo. Kampuni hiyo ilikanusha kutoa rushwa.

“Jukumu langu ni kufikisha kesi mahakamani na kuhakikisha kuwa Jaji anatoa adhabu stahili,” alisema Mkurugenzi wa SFO, Richard Aderman baada ya hukumu.

Alisema ana uhakika kuwa BAE itatekeleza makubaliano yaliyofikiwa ya kuilipa Serikali ya Tanzania ‘chenji’ ya pauni milioni 30 (zaidi ya Sh bilioni 60), baada ya kulipa faini nchini Uingereza.

Wakili aliyekuwa akiitetea BAE, Arno Chakrabarti, alikataa kusema chochote baada ya hukumu hiyo.

Shauri hilo la rada lililoelezwa kufanywa na mfanyabiashara Shailesh Vithlani ambaye alihusika katika mpango huo kuinufaisha BAE, pia limemhusisha aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Andrew Chenge ambaye amekuwa akitajwa kuwa mmoja wa wahusika wa kashfa hiyo.

                     Source : HabariLeo

Monday, December 13, 2010

Sunday, December 12, 2010

CECAFA Cup Final: Tanzania 1 Ivory Coast 0

Host Tanzania clinched the CECAFA Challenge Cup by beating the Ivory Coast 1-0 from a first-half penalty kick.

Thursday, December 9, 2010

kupata mwenza katika maisha n safari ndefu,

msaada tutani tafadhali
Habar za kazi kaka ......hongera kwa kazi nzuri ya kutupa taarifa mbalimbali ktk blog yetu ya jamii.
Naomba msaada,uniwekee post yangu hii katika blog yetu pls!

mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 26.elimu yangu ni form 4,na kwa sasa nafanya kazi ya ualimu huku kilimanjaro. nimekuwa ktk relation mara 2 kwa wakati tofauti ila tatizo ni kuwa najihis nina bahati mbaya,bcoz kila niliyedate nae alikuwa tayar ktk uhusiano. so mimi nimechoka kuwa mtu wa ziada.ndio maana natafuta mtu aliye serious ili tufanye maisha.nipo tayar kupima HIV,na hata kama atahitaji tuchunguzane kwa muda nipo tayari kwa aliye muaminifu.
weka email yangu,ili kwa atakae kuwa tayari tuwasiliane,
na endapo kuna maswali nitayajibu.
Thanx!
marryjoseph84@gmail.com
 
 
 
source   :michuzi Blog

Tony Blair’s sister-in-law has converted to Islam




Tony Blair’s sister-in-law has converted to Islam after having what she describes as a “holy experience” during a visit to Iran.
Journalist and broadcaster Lauren Booth, 43 – Cherie Blair’s sister – now wears a hijab whenever she leaves her home, prays five times a day and visits her local mosque whenever she can.
She decided to become a Muslim six weeks ago after visiting the shrine of Fatima al-Masumeh in the city of Qom.
“It was a Tuesday evening and I sat down and felt this shot of spiritual morphine, just absolute bliss and joy,” she said in an interview today.
When she returned to Britain, she decided to convert immediately.
Booth – who works for Press TV, the English-language Iranian news channel – has stopped eating pork and reads the Qur’an every day. She is currently on page 60.
Booth has stopped drinking alcohol and says she has not wanted to drink since converting.
Before her spiritual awakening in Iran, she had been “sympathetic” to Islam and has spent considerable time working in Palestine, she said, adding that she hoped her conversion would help Blair change his presumptions about Islam.

 

  -When she returned to Britain, she decided to convert immediately.
‘Now I don’t eat pork and I read the Koran every day. I’m on page 60. I also haven’t had a drink in 45 days, the longest period in 25 years,’ she said.
‘The strange thing is that since I decided to convert I haven’t wanted to touch alcohol, and I was someone who craved a glass of wine or two at the end of a day.

Happy New Year 1432 AH‏

Assallam aleikum warahmatullah wabarakatu


 Let me be the first to wish u a prosperous 1432 AH
                         

Where did the year go? Suddenly it is Zhul -Hijjah and nearly Muharram......again - and we realize that with giant strides we started in new Islamic year. And within a blink of an eye, 1431 is on its back!

A big "Thank You" to each and everyone of you, for the huge impact you had on my life this year. Especially for all the support, encouragement, prayers, advise and e-mails I received.......without you, I'm sure that 1431 would have been extremely boring.

From my side I wish you all a magical Festive Season filled with Loving Wishes and Beautiful Thoughts.

May 1432 mark the beginning of a Tidal Wave of Love, Happiness and Bright Futures.
 
And to those who need someone special, may you find that true love
 
To those who needed Taqwa, Iman, Islam, Ihsan, Money, Respect and Integrity, may Allah's Blessings and  Rahmah reach You in abundance.
 
To those who need caring, may you find a good heart
 
To those who need friends, may you meet lovely people
 
To those who need life, may you find Allah in All your affairs
 

Allahuma ya muqallibal qulubi wal absar Thabbit qulubana ala Ta'atika
 
  Happy  and Prosperous New Year In Advance!!!
 

Numerical Miracles of the Quran

Number "7"

At First, bring a Calculator to check with yourself

The details of this subject was quoted from the site "http://www.kaheel7.com/" and the Writer: Abdel Daa'm Al Kaheel
And I checked it myself

The Quran 41 "Fussilat":(41:42)
(41) Those who disbelieve in the Remembrance when it comes to them -- and surely it is a Book Sublime;
(42) falsehood comes not to it from before it nor from behind it; a sending down from One All-wise, All-laudable.

23 Years needed to reveal the Quran
114 Chapters "Sura" in The Quran were revealed in 23 Years
6236 Verses "Ayaa" in The Quran were revealed in 23 Years

- By putting the numbers 23 and 114 together

we get 23114 and backwards 41132

If we divid each one of these numbers by Seven, we will get integers

23114 = 7 × 3302
41132 = 7 × 5876

- By putting the numbers 23 and 6236 together

we get 236236 and backwards 632632

If we divid each one of these numbers by Seven, we will get integers also

236236 = 7 × 33748
632632 = 7 × 90376

- By putting the numbers 114 and 6236 together

we get 1146236 and backwards 6326411

If we divid each one of these numbers by Seven, we will get integers also

1146236 = 7 × 163748
6326411 = 7 × 903773

Look at this also

First Verse of the Quran "Chapter 1"

"In the Name of God, the Merciful, the Compassionate"

and In arabic "the Original Quran's Language"
بِسمِ اللَّÙ‡ِ الرَّحمٰÙ†ِ الرَّحيمِ

Count the letters of each word
بِسمِ 3
اللَّÙ‡ِ 4
الرَّحمٰÙ†ِ 6
الرَّحيم 6

So: بِسمِ اللَّÙ‡ِ الرَّحمٰÙ†ِ الرَّحيمِ
6, 6, 4, 3

- By putting them together, we get 6643

If we divid this number by Seven, we will get integer also

6643 = 7 × 949

Last Verse of the Quran "Chapter 114"

"Among Jinns and among men"

and In arabic "the Original Quran's Language"

Ù…ِÙ†َ الجِÙ†َّØ©ِ Ùˆَالنّاسِ

Count the letters of each word

Ù…ِÙ†َ 2
الجِÙ†َّØ©ِ 5
Ùˆ َ 1
َالنّاسِ 5

So: Ù…ِÙ†َ الجِÙ†َّØ©ِ Ùˆَالنّاسِ
5, 1, 5, 2

- By putting them together, we get 5152

If we divid this number by Seven, we will get integer also

5152 = 7 × 736

- If we put the number of the last chapter (114) and the first chapter (1) together

we will get 1141

If we divid this number by Seven, we will get integer also

1141 = 7 × 163

SO

The number of Chapters (114) didn't change and won't change.
The number of Verses (6236) didn't change and won't change.

Surely No human can do this or write the Quran with the Miracle of 7
It must be from God

Truely, As God Said

"Al-Hijr" 15:9
(9) Surely We have revealed the Reminder and We will most surely be its guardian.

Thursday, December 2, 2010

Asafiri kwa baiskeli kutoka Geita – Dar es Salaam kumpongeza JK

Image




















KIJANA Mussa Doto wa Kijiji cha Chabulongo katika Kata ya Kasamwa wilayani Geita, ametimiza azma yake kwa kusafiri kwa baiskeli kutoka Geita hadi Dar es Salaam kwa nia ya kumpongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuchaguliwa tena kuongoza Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, mwaka huu.

Hata hivyo, Dotto alipofika Singida, Katibu wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa huo, alimshauri apande basi hadi Dar es Salaam, ndipo jana alitimiza azma yake ya kumsalimia   na kumpongeza Rais Kikwete.

Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana, Rais Kikwete alimpokea kijana huyo wa Kitanzania jana asubuhi Ikulu.

“Rais Kikwete amemshukuru kijana huyo kwa moyo wake huo na kuahidi kumsaidia zaidi katika shughuli zake za kilimo ili apate manufaa na mafanikio zaidi,” ilieleza taarifa ya Ikulu.

Katika hatua nyingine, Rais Kikwete yuko jijini Arusha kwa ajili ya kuhudhuria kikao cha kawaida cha Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kinachoanza leo.

Rais Kikwete anamaliza kipindi chake cha mwaka mmoja cha kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo na kumkabidhi uenyekiti kiongozi mwingine katika kikao hicho kama ilivyo katika taratibu za EAC.

Rais Kikwete alipokea uenyekiti kutoka kwa Rais Paul Kagame wa Rwanda katika kikao cha Novemba mwaka jana.

Katika kikao cha wiki hii, viongozi watapokea taarifa mbalimbali za Baraza la Mawaziri zinazohusu utekelezaji wa masuala yanayohusu Jumuiya na kujadili mambo mbalimbali.

Source : HabariLeo.

Wednesday, November 24, 2010

Mheshimiwa Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete atangaza Baraza La Mawaziri

 


NA.

OFISI/WIZARA

WAZIRI


NAIBU WAZIRI

1.

Ofisi ya Rais




1.    WN – OR – Utawala Bora
Mathias Chikawe

2.    WN – OR – Mahusiano na Uratibu
Stephen Wassira



2.

Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma




      Hawa Ghasia


3.

Ofisi ya Makamu wa Rais



1.    Muungano
Samia Suluhu

2.    Mazingira
Dr. Terezya Luoga Hovisa
  


4.

Ofisi ya Waziri Mkuu



1.     Sera, Uratibu na Bunge
William Lukuvi

2.     Uwekezaji na Uwezeshaji
Dr. Mary Nagu



5.

Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)



George Huruma Mkuchika

1.Aggrey Mwanri



2. Kassim Majaliwa


6.

Wizara ya Fedha



Mustapha Mkulo

1. Gregory Teu


2. Pereira Ame Silima

7.

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi



Shamsi Vuai Nahodha

1. Balozi Khamis Suedi Kagasheki

8.

Wizara ya Katiba na Sheria



Celina Kombani





9.

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa




Bernard K. Membe

1.  Mahadhi Juma Mahadhi

10.

Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa



Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi


11.

Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi




Dr. Mathayo David Mathayo

1.  Benedict Ole Nangoro

12.

Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia



Prof. Makame Mnyaa Mbarawa

1. Charles Kitwanga

13.

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi



Prof. Anna Tibaijuka

Goodluck Ole Madeye

14.

Wizara ya Maliasili na Utalii





Ezekiel Maige


15.

Wizara ya Nishati na Madini





William Mganga Ngeleja

1. Adam Kigoma Malima

16.

Wizara ya Ujenzi





Dr. John Pombe Magufuli

1. Dr. Harrison Mwakyembe




17.

Wizara ya Uchukuzi





Omari Nundu

1. Athumani Mfutakamba

18.

Wizara ya Viwanda na Biashara





Dr. Cyril Chami

Lazaro Nyalandu

19.

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi




Dr. Shukuru Kawambwa

1. Philipo Mulugo

20.

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii





Dr. Haji Hussein Mpanda

1. Dr. Lucy Nkya

21.

Wizara ya Kazi na Ajira





Gaudensia Kabaka

Makongoro Mahanga

22.

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto




Sophia Simba

Umi Ali Mwalimu

23.

Wizara ya Habari, Vijana na Michezo





Emmanuel John Nchimbi

1. Dr. Fenella Mukangara

24.

Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki



Samuel John Sitta






1. Dr. Abdallah Juma Abdallah

25.

Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika





Prof. Jumanne Maghembe

1. Christopher Chiza

26.

Wizara ya Maji





Prof. Mark James Mwandosya

Eng. Gerson Lwinge