Home

HOME I

Sunday, November 7, 2010

KIKWETE AAPISHWA KUWA RAISI

                   Raisi mteule Jakaya Mrisho Kikwete akiapa kwa kushika kitabu kitakatifu (TheHolly Qur'an ) mbele ya Jaji mkuu wa Tanzania Jaji  Agustino Ramadhani.


Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameapishwa baada ya kushinda matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 31, 2010.

Rais ameapa mbele ya jopo la viongozi wa serikali wakiwemo Jaji Mkuu, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Katibu Mkuu Kiongozi, Jopo  la Majaji, Wakuu wa Vyombo vya ulinzi, Viongozi Watatu wa Madhehebu ya Dini, Wazee Wawili kutoka Tanzania Bara na Tanzania Visiwani  na Karani wa Baraza la Mawaziri.


Jakaya Kikwet, akiwasili uwanjani katika gari la wazi akiwasili kwa ajili ya kuapishwa

                                         















No comments: