Tanzania bado imeendeleza uteja kwa Wa-Misri Baada ya kuchapwa mabao 5-1.
Mpaka dakika ya 75 Misri ilikuwa inaongoza kwa 5-0.
Showing posts with label kp2010. Show all posts
Showing posts with label kp2010. Show all posts
Thursday, January 6, 2011
Saturday, December 25, 2010
Sunday, December 12, 2010
CECAFA Cup Final: Tanzania 1 Ivory Coast 0
Host Tanzania clinched the CECAFA Challenge Cup by beating the Ivory Coast 1-0 from a first-half penalty kick.
Thursday, December 9, 2010
kupata mwenza katika maisha n safari ndefu,
msaada tutani tafadhali
Habar za kazi kaka ......hongera kwa kazi nzuri ya kutupa taarifa mbalimbali ktk blog yetu ya jamii.
Naomba msaada,uniwekee post yangu hii katika blog yetu pls!
mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 26.elimu yangu ni form 4,na kwa sasa nafanya kazi ya ualimu huku kilimanjaro. nimekuwa ktk relation mara 2 kwa wakati tofauti ila tatizo ni kuwa najihis nina bahati mbaya,bcoz kila niliyedate nae alikuwa tayar ktk uhusiano. so mimi nimechoka kuwa mtu wa ziada.ndio maana natafuta mtu aliye serious ili tufanye maisha.nipo tayar kupima HIV,na hata kama atahitaji tuchunguzane kwa muda nipo tayari kwa aliye muaminifu.
weka email yangu,ili kwa atakae kuwa tayari tuwasiliane,
na endapo kuna maswali nitayajibu.
Thanx!
marryjoseph84@gmail.com
source :michuzi Blog
Tony Blair’s sister-in-law has converted to Islam
Tony Blair’s sister-in-law has converted to Islam after having what she describes as a “holy experience” during a visit to Iran.
Journalist and broadcaster Lauren Booth, 43 – Cherie Blair’s sister – now wears a hijab whenever she leaves her home, prays five times a day and visits her local mosque whenever she can.
She decided to become a Muslim six weeks ago after visiting the shrine of Fatima al-Masumeh in the city of Qom.
“It was a Tuesday evening and I sat down and felt this shot of spiritual morphine, just absolute bliss and joy,” she said in an interview today.When she returned to Britain, she decided to convert immediately.
Booth – who works for Press TV, the English-language Iranian news channel – has stopped eating pork and reads the Qur’an every day. She is currently on page 60.
Booth has stopped drinking alcohol and says she has not wanted to drink since converting.
Before her spiritual awakening in Iran, she had been “sympathetic” to Islam and has spent considerable time working in Palestine, she said, adding that she hoped her conversion would help Blair change his presumptions about Islam.
-When she returned to Britain, she decided to convert immediately.
‘Now I don’t eat pork and I read the Koran every day. I’m on page 60. I also haven’t had a drink in 45 days, the longest period in 25 years,’ she said.‘The strange thing is that since I decided to convert I haven’t wanted to touch alcohol, and I was someone who craved a glass of wine or two at the end of a day.
Happy New Year 1432 AH
Assallam aleikum warahmatullah wabarakatu
Let me be the first to wish u a prosperous 1432 AH
Where did the year go? Suddenly it is Zhul -Hijjah and nearly Muharram......again - and we realize that with giant strides we started in new Islamic year. And within a blink of an eye, 1431 is on its back!
A big "Thank You" to each and everyone of you, for the huge impact you had on my life this year. Especially for all the support, encouragement, prayers, advise and e-mails I received.......without you, I'm sure that 1431 would have been extremely boring.
From my side I wish you all a magical Festive Season filled with Loving Wishes and Beautiful Thoughts.
May 1432 mark the beginning of a Tidal Wave of Love, Happiness and Bright Futures.
And to those who need someone special, may you find that true love
To those who needed Taqwa, Iman, Islam, Ihsan, Money, Respect and Integrity, may Allah's Blessings and Rahmah reach You in abundance.
To those who need caring, may you find a good heart
To those who need friends, may you meet lovely people
To those who need life, may you find Allah in All your affairs
Allahuma ya muqallibal qulubi wal absar Thabbit qulubana ala Ta'atika
Happy and Prosperous New Year In Advance!!!
Numerical Miracles of the Quran
Number "7"
At First, bring a Calculator to check with yourself
The details of this subject was quoted from the site "http://www.kaheel7.com/" and the Writer: Abdel Daa'm Al Kaheel
And I checked it myself
The Quran 41 "Fussilat":(41:42)
(41) Those who disbelieve in the Remembrance when it comes to them -- and surely it is a Book Sublime;
(42) falsehood comes not to it from before it nor from behind it; a sending down from One All-wise, All-laudable.
23 Years needed to reveal the Quran
114 Chapters "Sura" in The Quran were revealed in 23 Years
6236 Verses "Ayaa" in The Quran were revealed in 23 Years
- By putting the numbers 23 and 114 together
we get 23114 and backwards 41132
If we divid each one of these numbers by Seven, we will get integers
23114 = 7 × 3302
41132 = 7 × 5876
- By putting the numbers 23 and 6236 together
we get 236236 and backwards 632632
If we divid each one of these numbers by Seven, we will get integers also
236236 = 7 × 33748
632632 = 7 × 90376
- By putting the numbers 114 and 6236 together
we get 1146236 and backwards 6326411
If we divid each one of these numbers by Seven, we will get integers also
1146236 = 7 × 163748
6326411 = 7 × 903773
Look at this also
First Verse of the Quran "Chapter 1"
"In the Name of God, the Merciful, the Compassionate"
and In arabic "the Original Quran's Language"
بِسمِ اللَّهِ الرَّحمٰنِ الرَّحيمِ
Count the letters of each word
بِسمِ 3
اللَّهِ 4
الرَّحمٰنِ 6
الرَّحيم 6
So: بِسمِ اللَّهِ الرَّحمٰنِ الرَّحيمِ
6, 6, 4, 3
- By putting them together, we get 6643
If we divid this number by Seven, we will get integer also
6643 = 7 × 949
Last Verse of the Quran "Chapter 114"
"Among Jinns and among men"
and In arabic "the Original Quran's Language"
مِنَ الجِنَّةِ وَالنّاسِ
Count the letters of each word
مِنَ 2
الجِنَّةِ 5
و َ 1
َالنّاسِ 5
So: مِنَ الجِنَّةِ وَالنّاسِ
5, 1, 5, 2
- By putting them together, we get 5152
If we divid this number by Seven, we will get integer also
5152 = 7 × 736
- If we put the number of the last chapter (114) and the first chapter (1) together
we will get 1141
If we divid this number by Seven, we will get integer also
1141 = 7 × 163
SO
The number of Chapters (114) didn't change and won't change.
The number of Verses (6236) didn't change and won't change.
Surely No human can do this or write the Quran with the Miracle of 7
It must be from God
Truely, As God Said
"Al-Hijr" 15:9
(9) Surely We have revealed the Reminder and We will most surely be its guardian.
Tuesday, November 9, 2010
Relief From Headache In Natural Ways
Headache is a common problem, specially among the working crowd. Headache is caused due to several factors, but we can put it under three broad categories -
1.Tension – This is the most common cause of headache. Tension creates a spasm of the muscles at the back of the neck. The muscle spasm gets the tissues over the surface of the cranium and thus, the pain is felt not only on in the neck but also on the forehead.
2.Migraine – Migraine is the abnormality of the nervous system. This strain on the nervous system is caused due to eye strain, shock, stomach disorders etc. Migraine is a chronic disease which needs medical attention.
3.Cluster Headache – Cluster headaches are repetitive and gets back several times in a month. These are generally caused due to constant pressure on the nerves like alcohol consumption, chain smoking etc.
Headaches are very disturbing and restricts your attention to the pain alone. At this moment pain killer seems to be the only solution to get relief form headache. Pain killers, however, have side effects. Here are few home remedies to get relief from headache -
1.For chronic headache, eat sliced apple with salt everyday in the morning for a week.
2.Crush lemon crust into a fine powder and make it into a paste with the use of water. Apply this on the forehead. This is quick relief form headache caused due to tension.
3.Apply a small amount of Eucalyptus oil on the center of the head and cover it with a towel dipped in warm water. This is one of the most effective ways of curing pain.
4.Put 3 drops of ghee in your nostrils for a week to get rid of headache from cold.
5.Drink a glass of water with a teaspoon of honey every morning to treat chronic headache.
6.Grind watermelon seeds with poppy seeds and consume three grams of it everyday if you are suffering constant pain.
7.Application of sandalwood paste on the forehead is one of the tradition ways of curing headache.
These seven tips will surely give you quick relief from headache and does not have any side effects. They not only get you relief from headache but also treats it, so that you don't suffer the symptoms again.
Sunday, November 7, 2010
Mashoga Ruksa kuwa Wanajeshi Marekani
JESHI la Marekani limekubali kuanza kutoa mafunzo ya kijeshi kwa mashoga baada ya wiki iliyopita Jaji wa Jimbo la California kutengua sera ya 'usiulize, usimwambie'. Sera hiyo ilikuwa ikipinga wazi mashoga kutumikia jeshi ingawa Wizara ya Ulinzi imewaonya wanajeshi mashoga ikisema kuwa huenda sheria hiyo ikatenguliwa.
Habari kutoka mjini Washington DC zimeeleza kuwa, pamoja na sera hiyo ya kupinga mashoga kutumikia jeshi kutenguliwa, Pentagon imekata rufaa kuhusu uamuzi huo na kumtaka Jaji kurejesha kwa muda sera hiyo lakini Jaji Virginia Phillips jana alikataa ombi hilo.
Imeelezwa kuwa baada ya kuondolewa sera hiyo, makundi ya wanaharakati wa kutetea haki za mashoga wamepanga kupeleka watu wa jamii hiyo kwenye vituo vya mafunzo ya kijeshi ili kujaribu tamko hilo la Pentagon.
"Endapo wenyewe binafsi watakubali wazi kuwa ni mashoga na wanataka kujifunza jeshi, tutawafanyia utaratibu lakini tutawaeleza kuwa hali hiyo kisheria inaweza kubadilika," amesema msemaji wa Idara ya Mafunzo ya Kijeshi katika kituo cha Fort Knox, Kentucky, Douglas Smith.
Mwezi Septemba mwaka huu, Chama cha Democrats kilijaribu kuitengua sera hiyo ya kuzuia mashoga kutumikia jesheni kupitia Baraza la Seneti lakini kikashindwa baada ya kushindwa kupata kura za kutosha.
Naye Rais Barack Obama, alishatangaza kuiondoa sera hiyo lakini wengi wa washauri wake wanakubali kuwa Rais huyo hawezi kuondoa sera hiyo ya kuwapiga marufuku mashoga kutumikia wazi jeshini bila kupitishwa na Baraza la Congress ama hatua za kisheria.
Katika hatua nyingine, Pentagon imesema kuwa Desemba mosi mwaka huu, inatarajia kutoa taarifa kuhusu uwezekano wa kuwepo madhara watakapowaruhusu wazi mashoga kutumikia jeshini.
Baadhi ya maofisa wa Pentagon wanasema kuwa kuwaruhusu mashoga kutaleta mabadiliko ya kila kitu jeshini kuanzia nyumba, bima na itifaki katika shughuli za kijamii.
Mjini California, Jaji Phillips anadai kuwa sera hizo zinavuruga haki za wanajeshi mashoga kuwa huru kuzungumza na kupata ulinzi sawa chini ya sheria.
Kesi ya kupinga kuzuiwa mashoga jeshini ilifunguliwa na kundi kutoka chama cha Republicans kinachounga mkono mashoga kwa niaba ya wanajeshi mashoga ambao walitimuliwa.
Source: DarLeo
Habari kutoka mjini Washington DC zimeeleza kuwa, pamoja na sera hiyo ya kupinga mashoga kutumikia jeshi kutenguliwa, Pentagon imekata rufaa kuhusu uamuzi huo na kumtaka Jaji kurejesha kwa muda sera hiyo lakini Jaji Virginia Phillips jana alikataa ombi hilo.
Imeelezwa kuwa baada ya kuondolewa sera hiyo, makundi ya wanaharakati wa kutetea haki za mashoga wamepanga kupeleka watu wa jamii hiyo kwenye vituo vya mafunzo ya kijeshi ili kujaribu tamko hilo la Pentagon.
"Endapo wenyewe binafsi watakubali wazi kuwa ni mashoga na wanataka kujifunza jeshi, tutawafanyia utaratibu lakini tutawaeleza kuwa hali hiyo kisheria inaweza kubadilika," amesema msemaji wa Idara ya Mafunzo ya Kijeshi katika kituo cha Fort Knox, Kentucky, Douglas Smith.
Mwezi Septemba mwaka huu, Chama cha Democrats kilijaribu kuitengua sera hiyo ya kuzuia mashoga kutumikia jesheni kupitia Baraza la Seneti lakini kikashindwa baada ya kushindwa kupata kura za kutosha.
Naye Rais Barack Obama, alishatangaza kuiondoa sera hiyo lakini wengi wa washauri wake wanakubali kuwa Rais huyo hawezi kuondoa sera hiyo ya kuwapiga marufuku mashoga kutumikia wazi jeshini bila kupitishwa na Baraza la Congress ama hatua za kisheria.
Katika hatua nyingine, Pentagon imesema kuwa Desemba mosi mwaka huu, inatarajia kutoa taarifa kuhusu uwezekano wa kuwepo madhara watakapowaruhusu wazi mashoga kutumikia jeshini.
Baadhi ya maofisa wa Pentagon wanasema kuwa kuwaruhusu mashoga kutaleta mabadiliko ya kila kitu jeshini kuanzia nyumba, bima na itifaki katika shughuli za kijamii.
Mjini California, Jaji Phillips anadai kuwa sera hizo zinavuruga haki za wanajeshi mashoga kuwa huru kuzungumza na kupata ulinzi sawa chini ya sheria.
Kesi ya kupinga kuzuiwa mashoga jeshini ilifunguliwa na kundi kutoka chama cha Republicans kinachounga mkono mashoga kwa niaba ya wanajeshi mashoga ambao walitimuliwa.
Source: DarLeo
Subscribe to:
Posts (Atom)