Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akivaa mabuti kujiandaa kuingia shambani kupanda mahindi huku mjukuu wake, Ivan Wimbo (kushoto) akimuangalia. Waziri Mkuu yupo kijijini kwao Kibaoni mkoani Rukwa kwa mapumziko ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya.
Rais Barack Obama
Katika sera ya zamani, iliyojulikana kama "Usiulize, Usiseme" iliruhusu mashoga kufanya kazi jeshini, lakini kwa kuweka hali ya jinsia zao siri.
Sera hiyo ilianzishwa miaka kumi na saba iliyopita wakati wa utawala wa rais Bill Clinton, ikichukua nafasi ya kupiga marufuku mashoga jeshini.
Source: BBC