
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akivaa mabuti kujiandaa kuingia shambani kupanda mahindi huku mjukuu wake, Ivan Wimbo (kushoto) akimuangalia. Waziri Mkuu yupo kijijini kwao Kibaoni mkoani Rukwa kwa mapumziko ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya.
“It was a Tuesday evening and I sat down and felt this shot of spiritual morphine, just absolute bliss and joy,” she said in an interview today.When she returned to Britain, she decided to convert immediately.
‘Now I don’t eat pork and I read the Koran every day. I’m on page 60. I also haven’t had a drink in 45 days, the longest period in 25 years,’ she said.‘The strange thing is that since I decided to convert I haven’t wanted to touch alcohol, and I was someone who craved a glass of wine or two at the end of a day.
| ||||||||||||||||||||
Source : HabariLeo. |
NA. | OFISI/WIZARA | WAZIRI | NAIBU WAZIRI |
1. | Ofisi ya Rais | 1. WN – OR – Utawala Bora Mathias Chikawe 2. WN – OR – Mahusiano na Uratibu Stephen Wassira | |
2. | Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma | Hawa Ghasia | |
3. | Ofisi ya Makamu wa Rais | 1. Muungano Samia Suluhu 2. Mazingira Dr. Terezya Luoga Hovisa | |
4. | Ofisi ya Waziri Mkuu | 1. Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi 2. Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Nagu | |
5. | Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) | George Huruma Mkuchika | 1.Aggrey Mwanri 2. Kassim Majaliwa |
6. | Wizara ya Fedha | Mustapha Mkulo | 1. Gregory Teu 2. Pereira Ame Silima |
7. | Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi | Shamsi Vuai Nahodha | 1. Balozi Khamis Suedi Kagasheki |
8. | Wizara ya Katiba na Sheria | Celina Kombani | |
9. | Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa | Bernard K. Membe | 1. Mahadhi Juma Mahadhi |
10. | Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa | Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi | |
11. | Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi | Dr. Mathayo David Mathayo | 1. Benedict Ole Nangoro |
12. | Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia | Prof. Makame Mnyaa Mbarawa | 1. Charles Kitwanga |
13. | Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi | Prof. Anna Tibaijuka | Goodluck Ole Madeye |
14. | Wizara ya Maliasili na Utalii | Ezekiel Maige | |
15. | Wizara ya Nishati na Madini | William Mganga Ngeleja | 1. Adam Kigoma Malima |
16. | Wizara ya Ujenzi | Dr. John Pombe Magufuli | 1. Dr. Harrison Mwakyembe |
17. | Wizara ya Uchukuzi | Omari Nundu | 1. Athumani Mfutakamba |
18. | Wizara ya Viwanda na Biashara | Dr. Cyril Chami | Lazaro Nyalandu |
19. | Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi | Dr. Shukuru Kawambwa | 1. Philipo Mulugo |
20. | Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii | Dr. Haji Hussein Mpanda | 1. Dr. Lucy Nkya |
21. | Wizara ya Kazi na Ajira | Gaudensia Kabaka | Makongoro Mahanga |
22. | Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto | Sophia Simba | Umi Ali Mwalimu |
23. | Wizara ya Habari, Vijana na Michezo | Emmanuel John Nchimbi | 1. Dr. Fenella Mukangara |
24. | Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki | Samuel John Sitta | 1. Dr. Abdallah Juma Abdallah |
25. | Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika | Prof. Jumanne Maghembe | 1. Christopher Chiza |
26. | Wizara ya Maji | Prof. Mark James Mwandosya | Eng. Gerson Lwinge |