Home

HOME I
Showing posts with label uchaguz2010i. Show all posts
Showing posts with label uchaguz2010i. Show all posts

Tuesday, November 2, 2010

MR II a.k.a SUGU ASHINDA UBUNGE MBEYA MJINI

Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Joseph Mbilinyi aka MR II (Sugu ) ameshinda uchaguzi wa Mbeya Mjini kwa tiketi ya CHADEMA kwa kumbwaga vibaya mgombea wa CCM na wagombea wengine.


MR II alishinda uchaguzi wa Mbeya Mjini kwa kuwabwaga vibaya wapinzani wake, Benson Mpesya wa CCM, Prince Mwaihojo, wa CUF, Tokolasi Kasuluari wa DP na Aggabo Mwakatobe wa NCCR.

Msimamizi wa jimbo hilo alimtangaza MR II kuwa ni mshindi wa jimbo hilo baada ya kupata kura 46,411 huku mpinzani wake mkubwa toka CCM, Benson Mpesya akifuatia kwa mbali akiwa na kura 24,327.

Freeman mbowe warudi bungeni na Augustino lyatonga mrema


 
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe ameshinda uchaguzi Jimbo la Hai na kurejea bungeni tena kama mbunge baada ya kuwa nje kwa miaka mitano
 
 Mwenyekiti wa TLP Mh. Augustino Lyatonga Mrema  ametangazwa kuwa Mbunge mteule wa Jimbo la Vunjo baada ya kushinda kwenye kinyang'anyiro cha kiti hicho baada ya kukaa nje kwa muongo mmoja
 
 

Rais mpya wa zanzibar ni Dk Ali mohamed shein

Rais Mteule, Dk. Shein kupitia CCM ameshinda kwa jumla ya kura 179, 809 sawa na 50.1% ya kura zote, il hali Maalim Seif kupitia CUF amepata kura 176, 538 sawa na 49.1% na zilizobaki ni za vyama vingine.

Maalimu Seif pia ameipongeza tume ya uchaguzi ya Zanzibar, ZEC, kwa zoezi la uchaguzi, lakini pia ametoa maoni juu ya mapungufu aliyoyaona hasa kuhusu shahada za kupiga kura na matumizi ya mabavu kwa mawakala wa vyama na watu mbalimbali wanapohoji na kutaka taarifa sahihi. Amemsihi Rais Mteule alishughulikie suala hilo. Kabla ya kuhitimisha hotuba yake fupi, Malim Seif alisema kuwa katika matokeo haya, "hakuna mshindi wala mshindwa" kwani washindi ni Wazanzibari na imani yake ni kuwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa italeta mafanikio nchini humo. Amemsihi Rais Mteule kuwaasa watu kuacha kubezana, kwani kufanya h ivyo kunaweza kusabababisha mtafaruku. Baada ya kuzungumza, Malim Seif alinyanyuka na kumpa mkono wa pongezi Rais Mteule wa Zanzibar, 2010 - 2015, Dk. Ali Mohamed Shein.

Ilipofika zamu ya Rais Mteule kuzungumza, naye alitoa pongezi kwa Maalim Seif na kupongeza zoezi zima la uchaguzi jinsi lilivyoendekea. Pia ametoa ahadi ya kushirikiana na wote katika ujenzi wa Zanzibar mpya kwa mujibu wa maridhiano mapya ya uundwaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar.

Monday, November 1, 2010

matokeo ya urais yazidi kutangazwa majimboni

Picture
Lewis Makame - NEC Tanzania
MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO JIMBO: SIHA

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 241 (1.02% )
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 15,570 (65.69% )
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 7,226 (30.49% )
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 83 ( 0.35% )
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 18 ( 0.08% )
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 11  (0.05% )
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 14 ( 0.06% )
SPOILT VOTES 538 2.27% TOTALS 23,701 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO JIMBO: MPANDA VIJIJINI

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 128 ( 1.03% )
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 7,817 (62.87% )
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 3,669 (29.51% )
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 378 (3.04% )
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 26 (0.21% )
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 17 ( 0.14% )
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 13 ( 0.10% )
SPOILT VOTES 386 3.10% TOTALS 12,434 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO JIMBO: LONGIDO

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO   (0.77% )
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 17,066 (83.64% )
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 2,702 (13.24% )
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 114  (0.56% )(
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 10 )0.05%
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 4 ( 0.02% )
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 7 (0.03% )
SPOILT VOTES 344 1.69% TOTALS 20,404 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO JIMBO: CHILONWA

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 319 (1.35% )
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 19,780 (83.68% )
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 2,439 (10.32% )
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 179 (0.76% )
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 25 (0.11% )
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 18 (0.08% )
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 18 (0.08% )
SPOILT VOTES 860 3.64% TOTALS 23,638 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO : BUKOBA MJINI

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 117 (0.35%)
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 15,410 (46.56%)
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 16,604 (50.16%)
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 449 (1.36%)
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 14 (0.04%)
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 14 (0.04%)
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 9 (0.03%)
SPOILT VOTES 482 1.46%
TOTALS 33,099 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO : MTWARA MJINI

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 161 (0.54%)
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 18,087 (61.04%)
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 4,415 (14.90%)
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 6,198 (20.92%)
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 56 (0.19%)
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 77 (0.26%)
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 33 (0.11%)
SPOILT VOTES 604 2.04%
TOTALS 29,631 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO : TUMBE

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 33 (0.40%)
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 633 7.64%
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 59 0.71%
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 7,021 84.71%
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 127 1.53%
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 36 0.43%
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 45 0.54%
SPOILT VOTES 334 4.03%
TOTALS 8,288 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO : KOROGWE MJINI

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 110 0.75%
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 10,761 72.98%
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 3,135 21.26%
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 394 2.67%
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 19 0.13%
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 5 0.03%
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 6 0.04%
SPOILT VOTES 316 2.14%
TOTALS 14,746 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO : KONDE

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 20 0.27%
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 775 10.58%
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 45 0.61%
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 6,181 84.35%
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 66 0.90%
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 21 0.29%
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 27 0.37%
SPOILT VOTES 193 2.63%
TOTALS 7,328 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO: BABATI MJINI

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 121 (0.58%)
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 12,699 (60.71%)
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 7,582 (36.25%)
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 102 (0.49%)
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 20 (0.10%)
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 15 (0.07%)
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 11 (0.05%)
SPOILT VOTES 366 1.75%
TOTALS 20,916 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO: MGOGONI

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 22 0.30%
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 696 9.54%
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 50 0.69%
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 6,044 82.84%
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 79 1.08%
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 23 0.32%
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 27 0.37%
SPOILT VOTES 355 4.87%
TOTALS 7,296 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO: BABATI MJINI

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 121 0.58%
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 12,699 60.71%
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 7,582 36.25%
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 102 0.49%
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 20 0.10%
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 15 0.07%
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 11 0.05%
SPOILT VOTES 366 1.75%
TOTALS 20,916 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO : NJOMBE KUSINI

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 250 0.83%
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 22,337 74.43%
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 6,848 22.82%
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 80 0.27%
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 32 0.11%
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 12 0.04%
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 36 0.12%
SPOILT VOTES 416 1.39%
TOTALS 30,011 100.00%
----------------------------

MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO JIMBO: SINGIDA MJINI

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 93 0.36%
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 19,246 73.64%
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 5,266 20.15%
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 922 3.53%
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 21 0.08%
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 24 0.09%
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 22 0.08%
SPOILT VOTES 542 2.07%
TOTALS 26,136 100.00%
----------------------------

 
 
MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO JIMBO: MICHEWENI

KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 34 0.41%
KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 1,561 18.67%
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 115 1.38%
LIPUMBA IBRAHIM HARUNA CUF 5,674 67.85%
RUNGWE HASHIM SPUNDA NCCR-MAGEUZI 198 2.37%
MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT TLP 64 0.77%
DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA UPDP 98 1.17%
SPOILT VOTES 618 7.39%
TOTALS 8,362 100.00%



Maswa ni ya Chadema

Wagombea wa Ubunge kupitia chama cha Chadema katika majimbo ya Maswa magharibi na mashariki wameshinda ubunge

Maswa mashariki mgombea alikuwa . Mh. John Magale Shibuda
Maswa mashariki mgombea alikuwa   Mh.Silvester Kasurumbai

Monica Mbega Chali-Iringa Mjini

Mgombea wa Ubunge kwa Tiket ya Chama cha Chadema Mchungaji Peter Msigwa ameibuka mshindi katika jimbo la Iringa Mjini na kumbwaga mpinzani wake kwa tiketi ya chama cha CCM , mama Monica Mbega

ZANZIBAR NI CUF AU CCM ?

Kuna unshindani mkubwa kati ya Cuf na Ccm kwa upande wa zanzibar
JIMBO LA KOROGWE MJINI


JK – 10,761 (72%)


SLAA – 3135 (21.26%)


LIPUMBA - 394 (2.67%)





JIMBO LA NJOMBE KUSINI


JK – 22, 337(74.43%)


SLAA – 6, 848 (22.82%)


LIPUMBA - 80 (0.27%)




JIMBO LA KOROGWE MJINI


JK – (72%)


SLAA –(21.26%)


LIPUMBA - (2.67%)




JIMBO LA TUNGE (ZNZ)


JK – 933 (7.94%)


SLAA –59 (0.71%)


LIPUMBA – 7,021 (84.71%)






JIMBO LA BABATI MJINI


JK – 12, 696 (60.71%)


SLAA – 7,582 (36.52%)


LIPUMBA - 102 (0.49%)





JIMBO LA MTWARA MJINI


JK – 18,087 (61.04%)


SLAA –4,415 (14.6%)


LIPUMBA – 6, 198 ( 20. %)




Jimbo micheweni zanzibar

Kiwete – 18%

Slaa – 1%

Lipumba – 67%


KONDE ZANZIBAR

JK – 10%

SLAA – 0.61%

LIPUMBA – 84.35%


SINGIDA MJINI

JK – 73%

SLAA – 20.5%

LIPUMBA - 3%


MGOGONI ZANZIBAR

JK – 696 (9.54%)

SLAA – 50 (0.96.26%)

LIPUMBA – 6,044 (82.84%)



JIMBO LA BUKOBA MJINI

JK – 15, 410 (46.56%)

SLAA – 16, 604 (50.61%)

LIPUMBA -449 (1.36%)

Chadema na CCM, kazi ipo Arusha !!!

MATOKEO ya awali ya uchaguzi mkuu katika mikoa ya Dar es Salaam, Arusha na Zanzibar yanaonesha CCM na Chadema kuchuana katika urais, udiwani na ubunge Bara huku CCM na CUF wakichuana Visiwani.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa Uchaguzi, Rajab Kiravu, amesema matokeo rasmi ya urais yanatarajiwa kutolewa keshokutwa.

Katika Jimbo la Kawe mkoani Dar es Salaam katika kata ya Msasani vituo vitano vya Tirdo, Jakaya Kikwete wa CCM anaongoza kwa kupata kura 392, Dk. Willibrod Slaa (Chadema) 237, Hashim Rungwe (NCCR- Mageuzi (1 ) na Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF (90).

Katika ubunge, mgombea wa CCM, Angela Kizigha (343), Halima Mdee wa Chadema (228), Mathayo Shaban wa CUF (103), James Mbatia wa NCCR-Mageuzi (36) na Nathaniel Mlaki wa APPT-Maendeleo kura mbili.

Katika kituo cha Tirdo C3, katika urais CCM ilipata kura 75, CUF 25, Chadema 40, APPT moja na vyama vingine sifuri.

Kutoka kata ya Sinza kituo cha Nice, urais CCM (373), Chadema (537) na katika ubunge, Mgombea wa CCM, Hawa Ng’humbi kura 275, mgombea wa Chadema John Mnyika (607).

Katika kituo cha Zahanati Ubungo, katika urais, CCM (203), Chadema (21). Katika ubunge, Ng’humbi wa CCM (111), Mnyika wa Chadema 237 na Julius Mtatiro wa CUF kura 47.

Katika kata ya Jangwani, katika urais, CCM (462), Chadema (110) na CUF (115). Katika ubunge, Mussa Zungu wa CCM (419), Naomi Kaihula wa Chadema (111). Kata ya Segerea, urais CCM (846), Chadema (482) na CUF (717).

Kutoka Arusha, kata ya Kaloleni kituo cha A1, urais CCM (59), Chadema (112), CUF (4) na wengine hawakupata kitu. Katika Ubunge, Dk. Batilda Buriani wa CCM (54), Godbless Lema wa Chadema (113), Balawi Balawi wa CUF (4), Maximilian Lyimo wa TLP (1).

Kituo cha A2 urais CCM (76), Chadema (119), CUF (2) na vyama vingine havikupata kitu. Katika ubunge CCM (71), Chadema (120), CUF (2) na TLP (4).

Katika kituo cha A3 urais CCM (67), Chadema (104), CUF (1) na katika ubunge CCM (62), Chadema (109) na TLP (2).

Kituo A4 urais CCM (65), Chadema (109), wengine hawakupata kitu. Katika ubunge, CCM (63), Chadema (111) na CUF (7).

Katika kituo cha B1, urais CCM (67), Chadema (118), CUF (5) na kwenye ubunge CCM (61), Chadema (121), CUF (3) na TLP (4).

Kutoka Zanzibar vyama vya CCM na CUF vimeonekana kutambiana katika maeneo tofauti na ambayo ni ngome za vyama hivyo.

Katika kituo cha Tumekuja watu 1,201 walipiga kura na matokeo; CUF (897), CCM (302), NCCR-Mageuzi (1) na Jahazi (1).

Kituo cha Haile Selassie watu 809 walipiga kura na CUF kupata 675, CCM 332 na AFP kura mbili. Katika kituo cha Vikokotoni, waliopiga kura ni 1,288 huku tatu zikiharibika.

CUF ilipata kura 906, CCM kura 379, Jahazi mbili na AFP kura mbili. Katika kituo cha Malindi watu 1,025 walipiga, ambapo 13 ziliharibika, CUF (837), CCM (174) na NRA (1).

Jimbo la Kikwajuni, CCM ilifanya vizuri katika vituo vingi lakini matokeo yaliyopatikana mara moja ni katika kituo cha Ben Bella ambako jumla ya watu 1,228 walipiga CCM ikapata 910, CUF 317 na NRA moja.

Jimbo la Kiembe Samaki, CCM ilionekana kufanya vizuri ikilinganishwa na mpinzani wake, katika baadhi ya vituo. Katika kituo cha shule ya msingi ya Kiembe Samaki CCM (1,355) na CUF (493).

Jimbo la Mpendae, kituo cha Jang’ombe matokeo ya awali katika vituo kadhaa yalionesha kuwa vyama hivyo vilikabana huku CCM ikiongoza kwa kura kidogo katika vituo vinne ambavyo matokeo yake yalikuwa yanaendelea kutoka.

VICENT NYERERE KIDEDEA

Mgombea Ubunge kupitia chama cha Chadema  katika Jimbo la  Musoma Mjini ,Ndg: Vicent Nyerere ameibuka mshindi katika jimbo kwa kupata kura 21,335 (59.71%),Akifuatiwa na mgombea wa chama cha CCM ,Ndg: Vedasto Mathayo aliyepata kura 14,723 (39.38%).

Mikoa mengine Bado zoezi la kuisabu kura  linaendelea......

MGOMBEA WA URAIS WA ZANZIBAR ANAONGOZA KATIKA MAJIMBO 12 YA MJINI MAGHARIBI


 
                                                         Dr. Ali Mohammed Shein

 TUME ya uchaguzi Zanzibar imetangaza matokeo ya awali ya  nafasi ya Urais wa Zanzibar kwa  majimbo 15 ya Unguja na mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha mapinduzi CCM DK ALI MOHAMED SHEIN ameonekana kung,aa zaidi kwa ushindi wa majimbo mengi kisiwani Humo.
Akisoma matokeo hayo mbele ya waandishi wa habari,waalikwa,waangalizi wa uchaguzi na wananchi katika ukumbi wa matangazo ya matokeo huko katika hoteli ya Bwawani mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar – ZEC – KHATIB  MWINYICHANDE amesema
                                 
  FUONI
Waliojiandikisha 10884
Waliopiga kura 8768 %90.7
Kura halali 8635 %98.5
Zilizoharibika  133 %1.5
DK SHEIN CCM 3746 %43.4
Maalim Seif  CUF 4852 %56.2

                                 DOLE

Waliojiandikisha 8017
Waliopiga kura 4912
Kura halali  6834 %98.4
Zilizoharibika 108% 1.6
DK SHEIN CCM 4777 %69.9
Maalim Seif  CUF 2007 %6.4
Kasim Bakar wa jahazi asilia 16 % 0.1
                         DIMANI            
Waliojiandikisha 12813
Waliopiga kura 11383 %88.8
Kura halali 11298 %68.5
Zilizoharibika  175 % 1.5
dk SHEIN 6225 % 55.5
Maalim Seif  CUF 4898
Tadea na Jahazi asilia wamefuata kw akufungana kwa kura 23

                KIEMBE SAMAKI
Waliojiandikisha  4998
Waliopiga kura 3856 %35.4
Kura halali 3806
Zilizoharibika  50 % 1.3
DK SHEIN CCM 4338
Maalim Seif  CUF 2812
NCCR mageuzi 10
                                      MWANAKWEREKWE 
Waliojiandikisha  8062
Waliopiga kura 7253 %90.3
Kura halali 7178 % 98.4
Zilizoharibika  115 % 1.6
DK SHEIN CCM 4338 % 60.4 2812 % 39 .2 NRA 10 %0.1
Maalim Seif  CUF
                            BUBUBU
Waliojiandikisha  9809
Waliopiga kura 8827
Kura halali 8606
Zilizoharibika  121
DK SHEIN CCM 4458 %51.8
Maalim Seif  CUF 4119 % 47.9
Nra 12 % 0.1
                        MFENESINI
Waliojiandikisha                    7242
Waliopiga kura                             6203% 85.7
Kura halali                                       6038
Zilizoharibika                                             165
DK SHEIN CCM                                3755 %62.2
Maalim Seif  CUF                                 2246%37.2
AFP 11 %0.2
                                  AMANI
Waliojiandikisha  7641                
Waliopiga kura     6857%                      
Kura halali                6725                     
Zilizoharibika         112 %1.6                                 
DK SHEIN CCM    4567 % 64.9                         
Maalim Seif  CUF  2312 %34.4                             
                                Raha leo
Waliojiandikisha     7229             
Waliopiga kura  6399 %88.5                         
Kura halali        6300 %88.5                             
Zilizoharibika   99 %1.5                                        
DK SHEIN CCM  4043 %64.2            
           
Maalim Seif  CUF     2216 %35.2                           
                                    KIKWAJUNI
Waliojiandikisha     7910            
Waliopiga kura            6513   %82.3                      
Kura halali        6431%98.7
Zilizoharibika  82 % 1.3
DK SHEIN CCM           4534 %70.5
Maalim Seif  CUF   1860 % 28.9
                                      KWAHANI

Waliojiandikisha     7497            
Waliopiga kura     6459%86.2                      
Kura halali        6398 %99.1
Zilizoharibika   61 %0.9
DK SHEIN CCM  4994%78.1
Maalim Seif  CUF     1349 %21.1

                                 MJI MKONGWE

Waliojiandikisha     7495            
Waliopiga kura          6414 %85.6                 
Kura halali        6334 %98.8
Zilizoharibika   80 %1.2
DK SHEIN CCM  1589 %25.1
Maalim Seif  CUF     4717 %74.5
                                      
                          MAGOGONI
Waliojiandikisha 10101                 
Waliopiga kura                           
Kura halali      
Zilizoharibika 
DK SHEIN CCM  3867 %44.1
Maalim Seif  CUF  4867 %55.4 
                       
             
MPENDAE
Waliojiandikisha      9459           
Waliopiga kura   8596 %90.9                         
Kura halali        8476
Zilizoharibika   120
DK SHEIN CCM  4870 %57.5
Maalim Seif  CUF     3546 %41.8
 
                 CHWAKA
CCM    7365      81%
CUF    1610     17.7%
 
                MUYUNI
CCM       6052   81%
CUF    1316     17.7 %
                                      
                 KOANI
CCM       7247    69.3%
CUF   3099     29.7%
 
                   MAKUNDUCHI   
CCM     6544    83%
CUF      1256   15.9 %
DONGE
AFP KURA 9, CCM-6320=88.4, CUF 773=10.8, JAHAZI ASILIA 28=0.1, NCCR-MAGEUZI 5=01%, NRA 5=0.1%, TADEA 11=0.2%

                                       UZINI
AFP 14=0.2%, CCM 7158=89.9%, CUF 731, JAHAZI 29=0.3%, NCCR-MAGEUZI 7=0.1, NRA 8=0.1%, TADEA 12=0.2
 

Sunday, October 31, 2010

JK na Mama Salma wakipiga kura leo



JK akipiga kura yake katika kituo cha kupigia kura Shule ya Msingi Msoga, kata ya Msoga,Chalinze leo asubuhi.
JK akionyesha wino uliopo katika kidole chake ikiwa ni ishara ya kuonyesha kuwa keshapiga kura leo.

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipiga kura katika kituo cha shule ya msingi Msoga iliopo Chalinze leo asubuhi.
 




Dr. Shein akipiga kura leo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dr. Ali Mohamed Shein akipiga kura kwenye kituo cha Uchaguzi Shule ya Msingi Oyesterbay jijini Dar es salaam mapema leo asubuhi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Ali Mohamed Shein akisalimiana na mmoja wa Waangalizi wa Uchaguzi kutoka Visiwa vya Ushelisheli walipokutana kwenye Kituo cha Uchaguzi Shule ya Msingi Oyesterbay wakati Makamu wa Rais alipokuja kupiga kura. wa tatu kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Ndg. Jordan Rugimbana akisikiliza mazungumzo hayo jijini Dar es Salaam.

  Mh. warioba akipiga kura leo
 
Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Joseph Sinde Warioba akipiga kura kwenye kituo cha uchaguzi Shule ya Msingi Oyesterbay jijini Dar es Salaam leo.

Dr Salim katika zoezi la kupiga kura mjini dar leo




Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr. Salim Ahmed Salim, akipiga kura leo jijini Dar es salaam ya kumchagua Rais , Mbunge na Diwani. Dkt Salim aliwasili katika Eneo la Soko la Samaki Msasani saa 12.50 Asubuhi na kufanikiwa kupiga kura katika Kituo B 3 cha Soko la Samaki Msasani saa 1.30 Asubuhi.
Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr. Salim Ahmed Salim akisubiri Kitambulisho chake kutoka kwa Karani wakati Karani huyo akiendelea na uhakiki ili kudhibitisha kama kweli jina lake limo katika daftari la wapiga kura ili aweze kwenda kupata katarasi za majina ya wagombea ili kushiriki zoezi la upigaji kura za kumchagua Rais, Mbunge na Diwani.

Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Salim Ahmed Salim, (wa pili kutoka mwisho) akiwa katika mstari unaolekea katika Chumba cha upigaji kura leo jijini Dar es salaam kwa ajili ya kushiriki zoezi la kumchagua Rais, Mbunge na Diwani.Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO.