Home

HOME I

Sunday, October 31, 2010

DENT WA CHUO AKWAMA KUPIGA KURA

Mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu jijini Dar es salaam, ambaye jina lake halikuweza kunaswa mara moja (kushoto) amekwama kupiga kura katika kituo cha Gongolamboto Mwisho baada ya jina lake kutoonekana kwenye orodha ya wasimamizi. Pichani anaonekana akitoa malalamiko yake kwa mwanahabari kutoka kituo cha televisheni kimoja cha jijini Dar.


Msimamizi msaidizi wa kituo cha Gongolamboto Mwisho akitoa maelezo kwa wanahabari kuhusu baadhi ya wapiga kura kutoona majina yao kituoni kwake.


No comments: