Home

HOME I

Monday, November 1, 2010

VICENT NYERERE KIDEDEA

Mgombea Ubunge kupitia chama cha Chadema  katika Jimbo la  Musoma Mjini ,Ndg: Vicent Nyerere ameibuka mshindi katika jimbo kwa kupata kura 21,335 (59.71%),Akifuatiwa na mgombea wa chama cha CCM ,Ndg: Vedasto Mathayo aliyepata kura 14,723 (39.38%).

Mikoa mengine Bado zoezi la kuisabu kura  linaendelea......

No comments: