Home

HOME I

Tuesday, November 2, 2010

MR II a.k.a SUGU ASHINDA UBUNGE MBEYA MJINI

Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Joseph Mbilinyi aka MR II (Sugu ) ameshinda uchaguzi wa Mbeya Mjini kwa tiketi ya CHADEMA kwa kumbwaga vibaya mgombea wa CCM na wagombea wengine.


MR II alishinda uchaguzi wa Mbeya Mjini kwa kuwabwaga vibaya wapinzani wake, Benson Mpesya wa CCM, Prince Mwaihojo, wa CUF, Tokolasi Kasuluari wa DP na Aggabo Mwakatobe wa NCCR.

Msimamizi wa jimbo hilo alimtangaza MR II kuwa ni mshindi wa jimbo hilo baada ya kupata kura 46,411 huku mpinzani wake mkubwa toka CCM, Benson Mpesya akifuatia kwa mbali akiwa na kura 24,327.

1 comment:

kipira said...

hey this post is copied