Home

HOME I

Tuesday, November 2, 2010

Freeman mbowe warudi bungeni na Augustino lyatonga mrema


 
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe ameshinda uchaguzi Jimbo la Hai na kurejea bungeni tena kama mbunge baada ya kuwa nje kwa miaka mitano
 
 Mwenyekiti wa TLP Mh. Augustino Lyatonga Mrema  ametangazwa kuwa Mbunge mteule wa Jimbo la Vunjo baada ya kushinda kwenye kinyang'anyiro cha kiti hicho baada ya kukaa nje kwa muongo mmoja
 
 

1 comment:

Anonymous said...

hey big up to mbowe & mrema ...hope in the house challange will be seen